Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Imeingia kwa kile ulicho kinena Mwenyewe! ''Umesahau mara hii?? au ulikusudia kuropoka Mkuu! any way rudia kusoma ulicho andika!!
Hapa tunajadili mambo ya visa za Marekani, interviews, safari z anje ya nchi, na mada kama hizo.

Kama una nyege za kumfia Mungu wako anzisha uzi wako, usiharibu nyuzi za watu.
 
anzisha uzi wako, usiharibu nyuzi za watu.
Uzi unanihusu sana tu, Mimi km Mwana JF!! nina haki nao!! mie ndo sisi wana JF halali, kama weye, ni haki ya msingi kunena lolote ilimradi sivunji sheria!! kamwe sheria zaJF hazinitengi kwa hilo! sorry! umeropoka!

Zaidi kasome sheria na kanuni za JF then urudi ! ulijiunga bila kusoma sheria za humu Jf!
Kama una nyege za kumfia Mungu wako anzisha uzi wako,
Hekima hii itakusaidia, Biblia Takatifu; Methali... yasema Nanukuu = Mpumbavu ukimtwanga ktk kinu akawa km unga! then ukamuumba tena, utaumba na Upumbavu wake vilevile!

km haitoshi hivi; ''Acheni Magugu na ngano viote pamoja!! Wewe ni gugu!.... lazima uote, miongoni mwetu! hakuna jinsi!
 
Uzi unanihusu sana tu, Mimi km Mwana JF!! nina haki nao!! mie ndo sisi wana JF halali, kama weye, ni haki ya msingi kunena lolote ilimradi sivunji sheria!! kamwe sheria zaJF hazinitengi kwa hilo! sorry! umeropoka!

Zaidi kasome sheria na kanuni za JF then urudi ! ulijiunga bila kusoma sheria za humu Jf!

Hekima hii itakusaidia, Biblia Takatifu; Methali... yasema Nanukuu = Mpumbavu ukimtwanga ktk kinu akawa km unga! then ukamuumba tena, utaumba na Upumbavu wake vilevile!

km haitoshi hivi; ''Acheni Magugu na ngano viote pamoja!! Wewe ni gugu!.... lazima uote, miongoni mwetu! hakuna jinsi!
Anzisha uzi wako wa Biblia na Mungu basi tujadili huko, hapa unaharibia watu uzi wao wa Visa za US.

Wewe unamuamini Mungu gani huyo anayefundisha kuwaletea watu wengine mambo tofauti kwenye nyuzi zao?
 
Anzisha uzi wako wa Biblia na Mungu basi tujadili huko, hapa unaharibia watu uzi wao wa Visa za US.

Wewe unamuamini Mungu gani huyo anayefundisha kuwaletea watu wengine mambo tofauti kwenye nyuzi zao?
Sijaharibu uzi wa mtu!! mie niko na wewe!! hao waache waendelee huko!.....ila…. unakila dalili za kutubu tena hivi karibuni ...jiandae Mkuu!!!!! unasikia?
 
Sijaharibu uzi wa mtu!! mie niko na wewe!! hao waache waendelee huko!.....ila…. unakila dalili za kutubu tena hivi karibuni ...jiandae Mkuu!!!!! unasikia?
Nimekupeleka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachopost.
 
Nimekupeleka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachopost.
Yaaani huo ni Utoto sana!! huwezi kujificha humu JF! hata utambike uchi Labda utoke kabisaaa!!!.....unaonekana weye ni mgeni ktk matumizi ya kompyuta!....Hii ndo tabia yako ulisha niweka huko miaka mingi

lkn si unaona nimekukamata na ukaingia mazima na nilijua hii ndo siraha yako! mbuzi!
 
Mpinga kristo namabari one!! …...sijui yupi unampinga?? make kuna kristo wengi!!…..Usinambie hujui kristo gani unampinga ntakushangaa sana!

Hakika hapa umemwonea Kiranga!!!

Hata huyo Kristo anakushangaa sana!!

Kwanini unajadili status ya mtu badala ya kujadili hoja iliyopo mezani??
 
Kwahili

Kiukweli kakuonea.

Hoja yake na mada tajwa vitu viwili tofauti.
Halafu mtu mwenye fujo hivyo anakuhubiria habari za Mungu!

Naona kama Mung huyo watu wanaomfuata wana kichaa hivi, sina haja ya kumfuata.
 
Halafu mtu mwenye fujo hivyo anakuhubiria habari za Mungu!

Naona kama Mung huyo watu wanaomfuata wana kichaa hivi, sina haja ya kumfuata.

Hapana

Hatuna ukichaa!!

Sema tunataka kulazimisha kila mtu amjue, hapo ndipo ilipo shida.

Mungu mwenyewe anatutaka tumpende kwa hiyari tu.

Ila pamoja na yote, huwa nakuombea ukutane naye na utambue yupo.

Ipo siku, utatambua kuwa Mungu yupo, usisitr kuja kunishukuru kwa kukuombea.
 
Hapana

Hatuna ukichaa!!

Sema tunataka kulazimisha kila mtu amjue, hapo ndipo ilipo shida.

Mungu mwenyewe anatutaka tumpende kwa hiyari tu.

Ila pamoja na yote, huwa nakuombea ukutane naye na utambue yupo.

Ipo siku, utatambua kuwa Mungu yupo, usisitr kuja kunishukuru kwa kukuombea.
Unarudi kulekule.

Naomba fungua uzi maalum kwa habari hizi tusiharibu uzi wa viza za US.

Sitegemei watu wanaojinadi kumjua Mungu wawe na tabia mbaya za kuharibu nyuzi za watu.
 
Uzi unanihusu sana tu, Mimi km Mwana JF!! nina haki nao!! mie ndo sisi wana JF halali, kama weye, ni haki ya msingi kunena lolote ilimradi sivunji sheria!! kamwe sheria zaJF hazinitengi kwa hilo! sorry! umeropoka!

Zaidi kasome sheria na kanuni za JF then urudi ! ulijiunga bila kusoma sheria za humu Jf!

Hekima hii itakusaidia, Biblia Takatifu; Methali... yasema Nanukuu = Mpumbavu ukimtwanga ktk kinu akawa km unga! then ukamuumba tena, utaumba na Upumbavu wake vilevile!

km haitoshi hivi; ''Acheni Magugu na ngano viote pamoja!! Wewe ni gugu!.... lazima uote, miongoni mwetu! hakuna jinsi!
Dah MUNGU unae muhubiri wewe ni huyu huyu ambae biblia inamtaja kweli?

Kama ni huyo mbona biblia ina mzungumzia kama Mungu wa utaratibu sana tofauti na ninachokiona hapa.

Au kuna version nyingine ya Miungu uko nayo ndo unaihubiri humu JF.



Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Halafu mtu mwenye fujo hivyo anakuhubiria habari za Mungu!

Naona kama Mung huyo watu wanaomfuata wana kichaa hivi, sina haja ya kumfuata.
Muongo wewe ndo umetukana lkn nikakujibu kwa vifungu vya Biblia! sasa nani ana fujo avatar mbilimbili! unatoa hoja unajitete tena Pc yangu inasoma finger print pia!
 
Muongo wewe ndo umetukana lkn nikakujibu kwa vifungu vya Biblia! sasa nani ana fujo avatar mbilimbili! unatoa hoja unajitete tena Pc yangu inasoma finger print pia!
Mada hapa ni mwana kapata viza
Na mtu akipata viza huwa ni shwangweee mzee
Hebu tumpongeze aliyepata viza
Maana ukishapata viza huwa ni sawa na ku "fly high"

Ova
 
Back
Top Bottom