Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Kuna kila dalili yakutorudi leo maana ndio siku ya mwisho jamaa atakuwa anataka kupeleka motoo wa maana. Gaddamit sema haya mambo bana kama girlfriend anauma sijui upande wa pili inakaaje!!

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nimempigia hapokei ila msg kajibu nimescreeen short msg nawezaje kuweka humu
Usiweke mzee..hiyo ni faragha yako tafadhali, Huwezi jua kesho ina nini..

Mnaweza sameheana alafu ukashindwa kuitoa humu
 



Langley we have a problem....
Mission is copromised
 
Ni ngumu sana, nakubaliana nawe, ila inawezekana🤔!
 
Mkuu apeleleze nini na mke yupo hom anacheki move?
Mbona kama ni ushahidi tosha
 
Usiweke mzee..hiyo ni faragha yako tafadhali, Huwezi jua kesho ina nini..

Mnaweza sameheana alafu ukashindwa kuitoa humu

Poa amerudi na amevaa nguo kapendeza sana kitu cha kwanza nimeshindwa kuvumilia imebid nimnase kibao yupo analia hapo na anasema alikuwa kwa Rafiki yake
 
yaani picha ndiyo linazidi kunoga namie ndiyo nishaanza kusinzia maskiini, naombeni kahawa eti, nalalaje yaani.??
Unaanzia wapi kulala upitwe na huu uhondo? Hebu jikaze!!!

Ma admin wenyewe wa JF nawaona wanazunguka zunguka tu kwenye kordo wanaenda kunawa uso na kurudi 😆😆😆 Melo mwenyewe yule pale kakaa ndio kwaanza anakunywa kahawa 😀
 
Wanafutaga siku hiz..atakupa password lakin ndani unakuta sms zako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…