Cha kwanza chukua simu. Cha pili mvue nguo ukague mashine kama imetumika😂Poa amerudi na amevaa nguo kapendeza sana kitu cha kwanza nimeshindwa kuvumilia imebid nimnase kibao yupo analia hapo na anasema alikuwa kwa Rafiki yake
Hahaaa,Unaanzia wapi kulala upitwe na huu uhondo? Hebu jikaze!!!
Ma admin wenyewe wa JF nawaona wanazunguka zunguka tu kwenye kordo wanaenda kunawa uso na kurudi 😆😆😆 Melo mwenyewe yule pale kakaa ndio kwaanza anakunywa kahawa 😀
Hii sikweli,mmoja anaweza kua too royal,mmoja mjukuu wa lucipher!!Mwanamke mzinifu ni wa mwanaume mzinifu.
Na mwanaume mzinifu ni wa mwanamke mzinifu.
Umekosea sana kumpiga. We ungekaa kimya tu no sex asubuh acha ela mezan ondoka akikuuliza kitu jibu kwa mkato keep busy na mambo yako kama hakuna kilicho tokea ungemuona anaomba samahani mwenyewePoa amerudi na amevaa nguo kapendeza sana kitu cha kwanza nimeshindwa kuvumilia imebid nimnase kibao yupo analia hapo na anasema alikuwa kwa Rafiki yake
Shetani ana nguvu acha kabisa😀Hahaaa,
Ila inakuwaga ni nini eti, ingekuwa mahubiri hapa hata hii simu nishadondosha zamani, vile ni umbeya nakaza macho khatari, walaqhi mbingu ngumu sana..!
Suleiman licha ya Kuoa wanawake 300 na vimada 700kwa hiyo wewe unajiona una kibali cha kuchepuka ila mkeo hana sio?
Anae fumwa ndo mkosaji ipo hivyokwa hiyo wewe unajiona una kibali cha kuchepuka ila mkeo hana sio?
Kwa hyo unaunga mkono shemeji yetu kuja hii mida mibayakwa hiyo wewe unajiona una kibali cha kuchepuka ila mkeo hana sio?
Ahahahahahah eti awe anaharishaUkiona mwanaume humii mke wako kugongwa nje ujue una upungufu wa kitu mwilini hadi sasa ulitakiwa uwe umewasha moto huko aliko awe anaharisha
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaahUnafel mkuu..mpigie simu mchepuko wako aje hapo home na nyinyi wekeni tamthilia yenu...wife yeye akirudi atakuta tayari mpo epsode ya nne au tano hivi...