Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Mimi nafikiri harudi leo. Lala tu mkuu. Fanya maombi ya toba kwa ajili yako na yake. Halafu wewe wacha kuchepuka. Ikimbie zinaa. Labda wewe ulianza chepuka na mrs analipiza maybe.
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Huenda hapo unalea watoto wa mshikaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukute hata hayupo kwa mwanaume bali yupo kanisani kwenye mkesha wa maombi au mzikitini kwenye mauridi🤔!
Ila tatizo kwa nini akudanganye yupo home mnaangalia naye tv wakati upo mwenyewe🤔!?
 
Nimemtumia msg wasap na kawaida ya Usiku mwema naona hajajibu ngoja tuone
 
Muage mchepuko wako kabisa. Mwambie kuchepuka basiii coz umechomwa na mkuki mzito
 
Ntawapa mrejesho Amerudi saa ngapi home na majibu yake yatakuwa ni yapi saa tatu na Nusu sasa hajarudi
mkuu 2ma ile msg alokushauri jamaa kisha mpigie mchepuko funga mlango usifungue mpaka kesho na huyu hapo asije tena hapo
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Mkuu unaishi Dar sehemu gani?
Je mkeo ni mfupi wastani mweusi ana kialama flani usoni?

Kama ndo huyo basi atakuwa analiwa na bro mmoja muuza majeneza hapo mitaa ya Mwananyamala.!

Nasema hivyo sababu kila mara nikija Dar huwa nafikia kwa hiyo jamaa ni rafiki yangu kikazi maana sote tunauzaga majeneza sasa mara kadhaa niliwahi kukuta akiwa na mwanamke flani kama huyo na akanambia kuwa huyo ni mke wa mtu na huwa anamla pindi mmewe akiwa mbali.

Mbaya zaidi huyo jamaa huwa anakulaga tigo peke yake, jamaa aliwahi kunambia kuwa mademu zake wote anakulaga tigo
 
Back
Top Bottom