Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmmh cris weeee, umesahau sili silali nakuwaza wewe, waridi wa moyo wangu, wanichoma mkuki moyoni, nikinywa maji nakuona kwenye glass, barafu wa moyo wangu, nyongo mkalia maini, mahabuba, laazizi,............. mahaba ya enzi zetu zileeeee, usiposikia hayo maneno huna raha..... wizi mtupuLove you too darling. Can't live without you. Umenikumbusha mbali kweli, siku ile nilipokuona kwa mara ya kwanza, moyo wangu uliongeza kasi ya mapigo. Nilijiuliza ntakutokeaje, na je nikipata ujasiri wa kukutokea halafu ukanikatalia ingekuwaje.
Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. Najua hawana nafasi kabisa katika moyo wako. Walikuwa wanajifunza tu darling. Ntakupenda daima. Sitakuangusha.
Luv u my carpet and ceiling board.
Chris.
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
![]()
who is your hubby here my bestlady????????nimechanganyikiwa...............
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
![]()
Lakini majitu mengine bwana kuharibia mood wenzao... hebu muacheni mwenzeno jamani a express her feeling...
bht my bestlady yupo ila sijapenda kumuweka wazi kabisa ... labda kama yeye atapenda na akisema mie nita- confirm
🙂
Thats soo sweet of u, hope ur husband read this... did he read ?
Lakini majitu mengine bwana kuharibia mood wenzao... hebu muacheni mwenzeno jamani a express her feeling...
BTW: jana nilimfumania mtrajaiwa wangu !!!
Thanx Nomane my husband is active member of JF ......message sent
Hao wengine kina Nguli ,sijui Xpin ,Fidel80,Burn bla bla zao tu .🙂.
Big up mommy, ila anakujua we JF hapa ni nani?naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
![]()
Mbona wengi wanajitokeza F1 sasa sijui mmeo ni yupi.
Lol afadhari naona na si wengine tutapewa nafasi ya kukuliwaza, hii tender kwangu ipo free.
Thanx Nomane my husband is active member of JF ......message sent
Hao wengine kina Nguli ,sijui Xpin ,Fidel80,Burn bla bla zao tu .🙂.
Big up mommy, ila anakujua we JF hapa ni nani?
Labda wewe??
sasa najua kwa nini kila uchao huwa unamuulizia .....shindwa na roho mbaya yako Fide!!!
tofauti na hao ni wa ukweli