juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Mmmh. Wana jf bhana hatusahau?Kweli mkali sana huyu bibie wacha nim-quote kidogo alivyosema..''Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa'' Akamaliza..
Baraka kwako, naktakia kila la kheri moniccaHabarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Alileta uzi huu mwenyewe:Acha kumtisha mwenzio...
Tutajie I'd ya bwana harusi jamaniNiwana jf ndiyo..pole kadi zilitengwa 20 kwaajili ya sana jf na zilishakwisha zote.