Andaa business plan kwanza uniletee nione unataka kufanya nn naweza kukusaidia, pia nijue huko wapi siwezi kutoa trekta Morogoro kwenda RuvumaMkuu katika matrekta yako;; embu niazime mmoja nirudi kijijini kwa babu yangu nikapambane na shamba. Nimechoka maliza sori ya kiatu changu kuzunguka mjini posta na bahasha ya kaki bila mafanikio.
Nimefika nchi zifuatazo AfricaMpaka sasa hivi hapo ulipo umeshatembelea nchi ngapi duniani?na je kuna funza dume la jike,au funza yoyote anemuwahi mwenzake jike kwa wakati huo anaofanywa?na je we umeshawahi kuwahiwa na funza mwenzako?maana unajiita funza dume
Kumbe unatambua hilo kuwa ni addiction? Jaribu kutafuta kitu mbadala kama kukimbia, jogging, kunywa chai au kahawa jioni, soma vitabu, kama una watoto jenga tabia ya kuwasomea kila jioni utaona muda unakwenda. Wapeleke watoto kutembea jioni kama unarudi muda muafaka. Usitoe visingizio vya foreni kumbe unakwenda michepuko. Unapoteza pesa ambazo ungejenga familia imara na yenye furaha sana.Ninapima ila sio kila mwezi wala kila mwaka ninapima ninapojisikia kupima na siogopi kupima
Nikiachana na mchepuko nitajaribu kuipotezea kwa muda ili niishi maisha huru. Michepuko ni kama utumwa fulani hivi ingawa ni kama addiction
Sawa sawa mkuu; ntawakilisha kwako as soon as possible.Andaa business plan kwanza uniletee nione unataka kufanya nn naweza kukusaidia, pia nijue huko wapi siwezi kutoa trekta Morogoro kwenda Ruvuma
Nauopokea ushauri wako na nitaufanyia kazi. UbarikiweKumbe unatambua hilo kuwa ni addiction? Jaribu kutafuta kitu mbadala kama kukimbia, jogging, kunywa chai au kahawa jioni, soma vitabu, kama una watoto jenga tabia ya kuwasomea kila jioni utaona muda unakwenda. Wapeleke watoto kutembea jioni kama unarudi muda muafaka. Usitoe visingizio vya foreni kumbe unakwenda michepuko. Unapoteza pesa ambazo ungejenga familia imara na yenye furaha sana.
Nimeoa nikiwa na mchepuko tayari nimekuwa naimwaga na kutafuta mpya ika kwa sasa nataka kuacha michepuko. Niko upande wa CAG na im negativeTupe experience yako ya kucheat kwenye mapenzi siku ya kwanza ilikuaje? Unaungana na CAG a SPEAKER? HIV status yako ipoje? Ni hayo tu kwaleo?
Uongozi wa JF naupongeza kwa kazi nzuri wamekuwa wakiboresha mara kwa mara sioni mapungufu yoyote na nina imani wanapiga hela kwa kazi hii wanayofanya ningeonana nao ningewapa pongezi hizoNini ushauri wako kwa uongozi wa JF? Mapendekezo? Nini utawaambia ukikutana nao?
Uongozi wa JF naupongeza kwa kazi nzuri wamekuwa wakiboresha mara kwa mara sioni mapungufu yoyote na nina imani wanapiga hela kwa kazi hii wanayofanya ningeonana nao ningewapa pongezi hizo
Haaaaa mkuu kumbe upo hiyo mitaa, ngoja nikusome kwenye GPS hapo kwa chambo mi nipo magorofani hapaKama upo Morogoro usiache kukaribia kihonda kwa chambo home sweet home unywe hata supu
Huyo anadanganya au labda labda ni Mtoto mdogoNachelea kuamini, anyway watu hawafanani na case yako ni rare sana kwenye hii dunia. Very rare (nakazia)