Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Ila wanawake sijui mkoje yaani ukikumbwa na changamoto kidogo unachowaza ni kuuza kei. Sio fair naamini hapo hapo ofisini kwako kuna wafanya usafi na walinzi huenda wanalipwa 150,000 ila hawajawaza kujiuza. Kama una uhakika wa chakula kwa kaka yako huoni ni sapport kubwa sana aisee!
 

Boss nauli ndio changamoto
 
Wako wadada hawapokei hata hiyo 250k na wanatembeza mihogo na karanga na wana watoto na familia na maisha yanasonga! Kudanga siyo na haijawahi kuwa excuse!

Sijasema kuwa nitadanga wakati mwinginee kila kitu kuna yumba pia nyuma ya biashara ya mtu kuna mengi yanaendelea mimi nina marafiki wanauza chakula ila bado wana danga
 
Hizo scamming method za kutumia public sympathy nimezishuhudia sana kwa watu wengi. Wewe utawapiga wajinga wenzako, ila wengi huwapati.
 
Kwa nn huyu dada swali la amesomea nn analikwepa, tafadhali watu sitisheni hiyo miamala mpaka aseme nn kasomea isije kuwa watu tunapigwa hapa........akisema kasomea nn pengine wadau twaweza mpatia hata ofa ya kazi nzuri zaidi.
Kazi zingine sio mpaka uwe umesomea boya wewe! Labda atakuwa muhudumu wa gesti au yupo kiwandani, nk.
 
Niwakumbushe tu ndugu wajumbe huyu mleta mada alishwah kuja na uzi wa kusema amechoka kuwa SIDE CHICK anataka kuwa MAIN CHICK
ephen_ nimekaa kwenye matumizi ya internet kwa muda mrefu kidogo kuliko wewe, niamini mimi huyu mtu ni scammer. Kama unafatiliaga visa vyake ambavyo vingi kashavifuta na hata hiki i know atakifuta, you will just land yourself to the same conclusion.
 
Sijasema kuwa nitadanga wakati mwinginee kila kitu kuna yumba pia nyuma ya biashara ya mtu kuna mengi yanaendelea mimi nina marafiki wanauza chakula ila bado wana danga
Kikubwa ni kutambua kwamba changamoto ni sehemu ya maisha, ili ufanikiwe changamoto haziepukiki. Namna unavyochagua kukabiliana na changamoto hizo ndizo zitatoa uelekeo wa maisha yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…