Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Mimi najadili hoja simjadili mtoa hoja kama hoja aliyoileta ina mantiki nitakubaliana nae huo udangaji wake atajijua mwenyewe. Mwanamke akiniambia sio busara kwa mwanamke mzima wa afya kumtegemea kila kitu mwanaume hapo nitakubaliane na hii haimaniishi ya kwamba kama yeye anaishi kinyume na anachokiongea nitakubaliana nae na uko pia. Maneno ni yatahukumiwa tofauti na matendo yatahukumiwa tofauti
Sasa kwani mimi ni wapi nimemjadili mtoa hoja kwani hata mimi si ninajadili kulingana na alichokiandika humu ndio maana sijasema kuwa hiyo ni tabia yake bali nimesema hayo ni mawazo yake, ndio nikasema mtu anayeweza kumshauri mwanamke adange awe na sponsors ukija tena kumkuta anashauri kuhusu mke kumsaidia mumewe majukumu, ukiwa na akili timamu huyu mtu utamuona kama mnafiki fulani hivi yani mtu ashindwe kujihudumia mwenyewe tu ndio aweze kumsaidia mumewe majukumu
 
Sasa kwani mimi ni wapi nimemjadili mtoa hoja kwani hata mimi si ninajadili kulingana na alichokiandika humu ndio maana sijasema kuwa hiyo ni tabia yake bali nimesema hayo ni mawazo yake, ndio nikasema mtu anayeweza kumshauri mwanamke adange awe na sponsors ukija tena kumkuta anashauri kuhusu mke kumsaidia mumewe majukumu, ukiwa na akili timamu huyu mtu utamuona kama mnafiki fulani hivi yani mtu ashindwe kujihudumia mwenyewe tu ndio aweze kumsaidia mumewe majukumu
Iyo michango ameitoa katika thread mbili tofauti maisha ni vita hauwezi kutumia mbinu moja kwenye kila situation. Embrace both your dark and light sides then use them properly
 
Iyo michango ameitoa katika thread mbili tofauti maisha ni vita hauwezi kutumia mbinu moja kwenye kila situation. Embrace both your dark and light sides then use them properly
Oohh kwa mantiki hiyo basi hata wanawake wanaolilia kuhudumiwa kwenye mahusiano, (ambao unawapinga) nao wana haki ya kusikilizwa, maana ni mbinu ya kupambana na situations kama hizo kwenye maisha
 
Hapo unataka urudie enzi tu za umalaya, ni maisha yako hakuna wa kukupangia!
 
Kujadiliwa ni kawaida kwenye public forum kama hii, hasa kama kinachojadiliwa kinahusiana na ulichoandika humu jukwaani, na si nje ya hapo

Kama ningekuwa najadili maisha yako binafsi basi siyo wewe tu hata mimi ningejiona kichaa, lakini kwa bahati nzuri sijakujadili wewe personally nimeijadili post yako, ila nashangaa umekuja na umeme over wa bwawa la rufiji

Sasa kati ya mimi na wewe nani anayetaka kuonekana wife material, maana naona unaipigania point yako ili usimchukize huyo jamaa asije akabadili mawazo akakuona namna gani vipi, yani umekomaa kujitetea utafikiri umeambiwa kuna viboko
Mimi na wewe nani anataka kumfurahisha huyo jamaa?
Mimi nakoment chochote ninachojisikia sijawahi kuwaza kumfurahisha mtu.
Naona mnabebana kila koment yangu mnabishana bibi na bwana. Mnaacha kujadili uzi mnajadili koments zangu!
Unajua ndiomana toka mwanzo niliwashauri nendeni pm mkajinafasi hamuoni mnavyopingana huyu anasema hivi, mwingine anasema hivi.
Au km vipi mkubaliane kutokukubaliana
 
Sasa usilalamike kusimangwa na kaka yako, na kifuatacho atakufukuza. Hapa wadada wote tutakwambia vumilia ila ukweli na wao wamewapanga masponsor sababu wanawake nature yetu kupokea na sio kutafuta
Asante sana kwa point hii. Wadada wengi watamuambia avumilie tu atafika, lakini hawatamuambia;
1. avumilie akiwa unaishi kwa nani. Siku akitimuliwa itakuwa mbaya zaidi.
2. avumilieje akiwa hana nauli na wala hajui huko kazini kupya anakwendaje
3. Na wala hawatamwambia ukweli kuwa wanayasema hayo huku wao wana masponsa wanaowalipia kila kitu, hadi pango.

Ukweli ni kwamba, huu uzi wa kadogo2 umebeba ujumbe mzito sana. Kwenye kufikiria atakwendaje kazini, akitokea mwamba akampa msaada bila kumuomba kunyanduka, tena msaada wa muda mrefu, (say mmiaka miwili), baada ya muda huo kupita, nature itachukua mkondo wake. Na nature yenyewe ni kuwa huyu kadogo2 atataka kulipa fadhila..!! Hapo ndo huwa mwanzo wa kudanga.

CC. kadogo2
 
Oohh kwa mantiki hiyo basi hata wanawake wanaolilia kuhudumiwa kwenye mahusiano, (ambao unawapinga) nao wana haki ya kusikilizwa, maana ni mbinu ya kupambana na situations kama hizo kwenye maisha
Ukishaweka sharti la kupewa material things ili utoe penzi huo ni ukahaba. Kuna direct na indirect prostitution. Direct ni wale waliojizima data wanajiuza kwa uwazi kwenye kumbi za starehe, mitandaoni n.k pesa atayolipwa na mteja inaitwa bei na indirect ni wale wanaojiuza kupitia mahusiano ya kimapenzi pesa wanayolipwa na mteja imepewa jina la matunzo. Kuna sehemu nimekuambia kwamba mimi sina shida na hao direct prostitutes ambao sikubaliani nao ni hawa indirect prostitutes. Unafanya biashara ya ngono fanya biashara yako kwa uwazi sio kucheza na hisia za kijana wa watu akijua yupo na mpenzi kumbe anadangiwa.
 
Asante sana kwa point hii. Wadada wengi watamuambia avumilie tu atafika, lakini hawatamuambia;
1. avumilie akiwa unaishi kwa nani. Siku akitimuliwa itakuwa mbaya zaidi.
2. avumilieje akiwa hana nauli na wala hajui huko kazini kupya anakwendaje
3. Na wala hawatamwambia ukweli kuwa wanayasema hayo huku wao wana masponsa wanaowalipia kila kitu, hadi pango.

Ukweli ni kwamba, huu uzi wa kadogo2 umebeba ujumbe mzito sana. Kwenye kufikiria atakwendaje kazini, akitokea mwamba akampa msaada bila kumuomba kunyanduka, tena msaada wa muda mrefu, (say mmiaka miwili), baada ya muda huo kupita, nature itachukua mkondo wake. Na nature yenyewe ni kuwa huyu kadogo2 atataka kulipa fadhila..!! Hapo ndo huwa mwanzo wa kudanga.

CC. kadogo2
Nashukuru kwa kutokuwa MNAFKI
 
Mimi na wewe nani anataka kumfurahisha huyo jamaa?
Mimi nakoment chochote ninachojisikia sijawahi kuwaza kumfurahisha mtu.
Naona mnabebana kila koment yangu mnabishana bibi na bwana. Mnaacha kujadili uzi mnajadili koments zangu!
Unajua ndiomana toka mwanzo niliwashauri nendeni pm mkajinafasi hamuoni mnavyopingana huyu anasema hivi, mwingine anasema hivi.
Au km vipi mkubaliane kutokukubaliana
Wewe hujui tulipoanzia ndio maana naona unaropokwa tu, mimi na huyo jamaa ni mahasimu wa muda mrefu kwenye mada kama hizi kwahiyo siwezi kuandika kitu ili kumfurahisha yeye na anajua hilo, ndio maana nakushangaa wewe unavyojitetea hapa ni kama vile unataka kumfurahisha
 
If you are not financially free, mawazo yatakayoonekana finyu kwa wenye fedha, kwako yatakuwa ndiyo solution ya matatizo yako kwa wakati huo..!! HUWEZI ELEWA HILI HADI UWE HUNA KITU NA HUJUI LINI UTAKUWA NA KITU

CC Sport ladyy, kadogo2
Listen nyie ndo mnapenda mtelezo, huwezi namnia mwanamke njia rahisi ya kupata pesa ni kudanga tu, huo ni mfinyo wa akiri ambao mwafrika aliye na element za utumwa anazo. Mimi naheshimu wanawake wanao hustle 24/7 hata kwa kuuza chapati lkn sio hawa wadangaji wasio na mbele wala nyuma. Huyo hapo tyr ana kazi kinacho mliza ni nini kama sio kutafta madanga tukwa njia ya kujitia huruma.
 
Ukishaweka sharti la kupewa material things ili utoe penzi huo ni ukahaba. Kuna direct na indirect prostitution. Direct ni wale waliojizima data wanajiuza kwa uwazi kwenye kumbi za starehe, mitandaoni n.k pesa atayolipwa na mteja inaitwa bei na indirect ni wale wanaojiuza kupitia mahusiano ya kimapenzi pesa wanayolipwa na mteja imepewa jina la matunzo. Kuna sehemu nimekuambia kwamba mimi sina shida na hao direct prostitutes ambao sikubaliani nao ni hawa indirect prostitutes. Unafanya biashara ya ngono fanya biashara yako kwa uwazi sio kucheza na hisia za kijana wa watu akijua yupo na mpenzi kumbe anadangiwa.
Sasa huyo dada hajamshauri mtoa mada afanye direct prostitution amemshauri awe na sponsor wa kumhudumia tena siyo mmoja au wewe hukusoma comments zake vizuri, sasa wale wanaonunua siku moja siyo masponsor sponsor anakuwa ni mwanaume ambaye uko naye kwenye mahusiano na anadanganywa kuwa anapendwa kumbe anachunwa, sasa mwanamke anayeshauri mtu afanye hivyo ndio ataweza kushauri mke amsaidie mumewe majukumu
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

+255 67 949 7293 Rahma Yusuph
Kifupi ni kwamba upo sokoni na unatafuta wateja. Endelea hapa utachezewa na watakunawa sanA.
 
Ikitokea mtu ameomba CV yangu basi yeye ndio atajua wapi nilizaliwa na wapi nilipo, siwezi kujiexpoziii kila kitu Jf Kuna wenginee wakisoma tu wanajua huyu ni mtu fulani so be positive binti
Haya tuma hiyo cv
 
Baada ya kusoma uzi pamoja na comments zote naweza kusema kitu sasa

Ushauri wangu kwako ndugu mtoa mada me/ke
Kwasasa azima baiskeli hapo mtaani kwenu uwe unaendea kazini, ukipata mshahara nunua baiskeli yako binafsi na tatizo litakuwa limeisha. Maana hutatumia nauli tena.
Badala ya kula kazini uwe unaenda kazini na kitu chako cha kula kutokea nyumbani achana na mambo ya kununua, maji pia uwe unaenda nayo

Faida za kuendesha baiskeli ni nyingi zikiwemo za kiafya.
 
Listen nyie ndo mnapenda mtelezo, huwezi namnia mwanamke njia rahisi ya kupata pesa ni kudanga tu, huo ni mfinyo wa akiri ambao mwafrika aliye na element za utumwa anazo. Mimi naheshimu wanawake wanao hustle 24/7 hata kwa kuuza chapati lkn sio hawa wadangaji wasio na mbele wala nyuma. Huyo hapo tyr ana kazi kinacho mliza ni nini kama sio kutafta madanga tukwa njia ya kujitia huruma.
Unamshauri nini kadogo2 tu?
 
Back
Top Bottom