Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuUfisadi halimashauri?
Uzembe makazini?
Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini?
Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya?
Waarabu wameleta ufanisi bandari za Tanganyika?
Migomo ya kodi na tozo😅😂
Huko Kenya Rigath Anawalaumu Nis hawakutonya Ruto kuwa wanannchi hawataki muswada kandamizi
Unajuaje kama Rais hajaambiwa.Kuambiwa na kuchukua hatua ni vitu viwili tofauti.Ufisadi halimashauri?
Uzembe makazini?
Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini?
Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya?
Waarabu wameleta ufanisi bandari za Tanganyika?
Migomo ya kodi na tozo😅😂
Huko Kenya Rigath Anawalaumu Nis hawakutonya Ruto kuwa wanannchi hawataki muswada kandamizi
Hao wapo kwa ajili ya kutwist mambo na kumsogezea trending news mwananchi zisizo na manufaa.Sometimes naonaga hao watu wanakuzwa tu hawana lolote kuweza kubadilisha mwenendo wa rais aliyepo madarakani, wamejaa ujuaji, kujikweza wakila wakashiba hata nchi wanauza hawana uzalendo km inavyohubiriwa, ufisadi hata wao wanafanya vizuri tu
Mkuu mbona Kinana alishalisema hili,baada ya Lissu kuwasha mtu sakata la DP world Kinana alipokuwa akimjibu alisema Rais anamasikio marefu anaambiwa kila kitu.Kiukweli anapewa ripoti yyt anayoitaka tena kwa nchi kama Tanzania ambapo dola imejipenyeza kwa raia zaidi Rais huambiwa hata visivyohitajika(hata siri za ndani za watu😂 rejea wakati wa Magu mzee alikuwa anajua hadi tabia za vijana aliowaajiri wanapenda kupiga mambo ambao hawajaoa kama yule RC wa Iringa akawaambia hadharan oeni au inshu beef la Ummy na mwenzake wa Tanga).Kikwete pia aliwahi kusema huwa anaambiwa kila kitu rejea kipindi anamjibu Kagame.Kiujumla Samia anaambiwa kila kitu sasa Inactions zake ndio zinaleta tafsiri kwamba huenda yupo incompetent!Ufisadi halimashauri?
Uzembe makazini?
Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini?
Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya?
Waarabu wameleta ufanisi bandari za Tanganyika?
Migomo ya kodi na tozo😅😂
Huko Kenya Rigath Anawalaumu Nis hawakutonya Ruto kuwa wanannchi hawataki muswada kandamizi
Katika idara ambazo hazitimizi majukumu yao vzr hii ni moja wapo. Wao wanauwezo wa kuamua nani awe kiongozi kwa maslahi mapana ya nchi. Wanataarifa zote lkn bado nchi ni masikini pamoja mtaji wa mali asiliSometimes naonaga hao watu wanakuzwa tu hawana lolote kuweza kubadilisha mwenendo wa rais aliyepo madarakani, wamejaa ujuaji, kujikweza wakila wakashiba hata nchi wanauza hawana uzalendo km inavyohubiriwa, ufisadi hata wao wanafanya vizuri tu
Asubuhi vijana wenzio wanaamka wankinywa chai wewe unavuta bangi chooni.Ufisadi halimashauri?
Uzembe makazini?
Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini?
Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya?
Waarabu wameleta ufanisi bandari za Tanganyika?
Migomo ya kodi na tozo😅😂
Huko Kenya Rigath Anawalaumu Nis hawakutonya Ruto kuwa wanannchi hawataki muswada kandamizi
Hivi ile MI (military intelligence) ina share majukumu na taatifa na Tiss?Sometimes naonaga hao watu wanakuzwa tu hawana lolote kuweza kubadilisha mwenendo wa rais aliyepo madarakani, wamejaa ujuaji, kujikweza wakila wakashiba hata nchi wanauza hawana uzalendo km inavyohubiriwa, ufisadi hata wao wanafanya vizuri tu
Yaani Regime ya sasa ijitafakari sana, maana ukweli ni kwamba, kati ya watanzania 10, ni chini ya wawili tu wanaikubali!Ufisadi halimashauri?
Uzembe makazini?
Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini?
Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya?
Waarabu wameleta ufanisi bandari za Tanganyika?
Migomo ya kodi na tozo😅😂
Huko Kenya Rigath Anawalaumu Nis hawakutonya Ruto kuwa wanannchi hawataki muswada kandamizi
Kwa sasa tunamtaka PCM a-take over.Wananchi lazima wamuunge mkono kiongozi yeyote anayeonekana kupinga ufisadi hata kama huyo kiongozi hana uhakika na anachokifanya, angalia mtu kama JPM alivokaa kichwani mwa watu.
Ni kweli Mkuu.Sometimes naonaga hao watu wanakuzwa tu hawana lolote kuweza kubadilisha mwenendo wa rais aliyepo madarakani, wamejaa ujuaji, kujikweza wakila wakashiba hata nchi wanauza hawana uzalendo km inavyohubiriwa, ufisadi hata wao wanafanya vizuri tu
Ni kweli Mkuu.
TISS wazalendo ni kama walienda na Nyerere.
Huyu mtu kama vile ninamfahamu....sio Chura kiziwi kweli!?Please come again I cant hear you
View attachment 3027157
Kwani we unataka nini ili nimwambie leoleo?Ufisadi halimashauri?
Uzembe makazini?
Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini?
Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya?
Waarabu wameleta ufanisi bandari za Tanganyika?
Migomo ya kodi na tozo😅😂
Huko Kenya Rigath Anawalaumu Nis hawakutonya Ruto kuwa wanannchi hawataki muswada kandamizi
Huko wamejazana machawa tu kupata pure wazalendo ni mmoja mmoja sana na unakuta hawana nafasi za kumshauri rais moja kwa mojaHivi ile MI (military intelligence) ina share majukumu na taatifa na Tiss?
Ni ngumu sana kukuta ufisadi uchawa ujuaji na ukwezi, wale wapo wazalendo kweli.
Yani ni vilaza na hasara kwa taifaHao wapo kwa ajili ya kutwist mambo na kumsogezea trending news mwananchi zisizo na manufaa.