#COVID19 Leo ndo nimeamini COVID-19 ni hatari

Ili uamini zaidi, kuwa COVID-19 ipo na inauwa fika mortuary za KCMC na Mawenzi hospital Mkoa wa Kilimanjaro.
Kuna tatizo la suspects wa corona kuwaita moja kwa moja kuwa ni wagonjwa wa corona, hili nimeliona kwenye ile clip ya Mama Samia alipoogopa kuingia kwenye wodi ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua ambapo kuna suspect ila sisi huku tukapitisha kuwa ni wodi ya wagonjwa wa corona.
 
Nani kakuambia ni covid? Mbona mnakuza mambo nyie mtaimba nyimbo za mabeberu mpaka lini
 
Kwa kweli ugonjwa huu unatisha. Nina mtu wa karibu ameuumwa anakaribia kupona lakini dah ilikua changamoto kufika kumuona alivyoteseka. Babati tuna facilities nyingi za hospitali Kama oxygen na daktari. Pia tumechanganya Tiba ya dawa asilia, chakula na vidonge vya hospitali. Tuchukue tahadhari Ila tule vyakula Kama mbigamboga na matundaa kwa wingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…