Hawa watu wamechanganyikiwa. Nafikiri kuna siri kubwa(password) kafa nayo bila kuwaachia sasa wanahaha Kila Kona. Kuna Sanduku la shaba liko pale jengo jeupe wakuu wameshindwa kulifungua. Password yake aliyekuwa anafahamu ni Jiwe pekee.[emoji2960][emoji2960]Hili taifa halina uongozi kabisa
Sijui hata vyombo vya ulinzi na usalama wa taifa vinafanya Nini !!
Hizi aibu Nani anabeba?
Akili zako hazina akili au makusudi tu..?!Unashangazwaje kwa ufafanuzi ambao umekwisha kutolewa?!!!
Wameamua kuuzima mwenge Chato kwa ajili ya pia kumkumbuka hayati JPM....
HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE JKN🙏
Yaani jamaa wanashangaza sana....unaweza ukawa mpingaji wa kila jambo huku unajiona zimo kumbe "gofu" 🤣nyerere day ni lazima isherehekewe butiama?
nini maana ya baba wa taifa?
Ndio maana mlivyo wapumbavu sherehe za Uhuru uwa zinaharishwa mnashangilia !!Nyerere Day inahusiana vipi na vyombo vya ulinzi na usalama?
Amezichukua huyu hapa .....Akili zako hazina akili au makusudi tu..?!
Upo Ukweli watu wanaolipwa humu kutetea UOZO wewe ni mmoja wapo. Hii mada inatia simanzi sana jinsi Mwalimu Nyerere alivyokosewa adabu leo. Siku ya Magufuli ni March 17. Inakuwaje CCM wamkosee adabu Mwalimu?mkuu kama kutoa maoni yako hadi ulipwe, basi kuna shida mahali
sisi wengine tuko huru kidogo.
Ni kweli mmemtesa mama Maria Nyerere, anajisikia vibaya kwa haya yaliyotokea leo. Rais Samia ana washauri wa hovyo kabisa, hata hivyo, na yeye amepokeaje USHAURI wa KIPUUZI kama huu wa kudhalilisha siku ya Mwalimu? Magufuli ana yake March 17, siyo hii ya leo ambayo imetumika kudhalilisha Mwalimu.Mtateseka sana, heshima ya JPM ni kubwa!
Baada ya Nyerere ni JPM Tanzania!
Hawa akina Kikwete hata wakifa leo, kumbukumbu yake ilishafutika
Usikufuru! Magufuli alikuwa mbadala wa Nyerere!! Ulimfahamu Nyerere? Mambo mengi aliyoyafanya marehememu Magufuli, ni yale ambayo Mwalimu aliyakaripia vikali.Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Yaani Chato ifanywe kuwa mji wa wafu?... wazo zuri; Chato pawe mahali rasmi pa kuwazika viongozi!
Basi Chato itangazwe kuwa mji mkuu wa wafu.naunga mkono
siku ya pasaka hua unaenda kwenye kaburi la yesu?
nijuavyo, nyerere day hua tunasherehekea maisha ya nyerere so inaweza kua popote.
mwenge huzimwa butiama kila mwaka?Usiendeleze UJINGA. Kama ni mwenge ungezimwa Butiama. CCM wamekosa adabu kwa Baba wa Taifa kumpora siku yake kumpa Magufuli, ni ukosefu wa adabu kwa Mwalimu.
sahihi hakuna ubaya.Nyerere daya ya mwaka ujao isherekewe Lupaso Lindi
Nyerere mdogo wake Magufuli! Kumbe wote walifariki leo!Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Kama mwenge siyo lazima uzimwe Butiama, basi ungezimwa Chato ,lakini viongozi kuanzia Rais wangekuwa Butiama kuweka mashada, Kama ishara ya kuheshimu Nyerere day. Wamemwacha mama Maria peke yake mashada wanaweka kwa Magufuli! Mwalimu amekosewa adabu.mwenge huzimwa butiama kila mwaka?
kwahiyo kwa mujibu wako leo ilikua siku ya magufuri?
hueleweki.Kama mwenge siyo lazima uzimwe Butiama, basi ungezimwa Chato ,lakini viongozi kuanzia Rais wangekuwa Butiama kuweka mashada, Kama ishara ya kuheshimu Nyerere day. Wamemwacha mama Maria peke yake mashada wanaweka kwa Magufuli! Mwalimu amekosewa adabu.
Sidhani kama kuna mtu atakayeweza kumfanya Magufuli asikumbukwe. Imepita miaka mingapi tangu Hitler atoweke, lakini Wajerumani, kwa uovu ule alioufanya, bado wanamkumbuka.nilichokigundua hapa, haters wa magufuli hua mnatamani viongozi wa serikali wawaunge mkono kwa kila kitu
mngetamani kuona magufuli hakumbukwi kwa chechote
mngetamani kuona anatukanwa hadharani na viongozi aliowaacha
nikuulize, tukio la mwenge kuzimwa lina uhusiano gani na kumbukumbu ya baba wa taifa?
huoni ingekua ni upotevu wa pesa za umma, viongozi kua sehemu mbili tofauti? yaani wengine wawe kwenye mwenge chato na wengine waende butiama!
mbona sioni tatizo!
najua kilichowachukiza ni samia kwenda kwenye kaburi la mtangulizi wake.
Kulikuwa na shughuli ya mwenge, wacheni wivu!Binafsi nimeshangazwa pia