Acheni kujizungusha Nyerere day ni Nyerere day na Magufuli day ni Magufuli day, kusema eti wamekwenda Chato kwa kuwa Magufuli alimuenzi Nyerere ni kutufanya wote wajinga.Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Inatia huruma sana. Hao damu zao zinalia mbinguni dhidi ya Magufuli.Ameshajiandikia historia ya udikiteita, yote mnajisumbua kumtukuza wakati watu, dunia inajua Jiwe alikuwa nani
Kwanza kwa Mungu ajibu hawa wako wapi?
Huna ushahidi wowote ule bali kuropoka Jamii Forum, shukuru kuna watu wameliwezesha hilo la wewe kupayuka.Sidhani kama kuna mtu atakayeweza kumfanya Magufuli asikumbukwe. Imepita miaka mingapi tangu Hitler atoweke, lakini Wajerumani, kwa uovu ule alioufanya, bado wanamkumbuka.
Mtu aliyeteka watu, kuwapoteza, kuua, kuwashambulia watu kwa risasi, kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatenga na kuwapendelea watu kwa misingi ya ukabila na kanda, atawezaje kusahaulika kiurahisi?
Yesu hakufa, hakuzikwa.siku ya pasaka hua unaenda kwenye kaburi la yesu?
nijuavyo, nyerere day hua tunasherehekea maisha ya nyerere so inaweza kua popote.
Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
kama wewe ni mtanzania na una akili timamu, naomba unitajie raisi ambae hakufanya ulichoandika hapa.Mtu aliyeteka watu, kuwapoteza, kuua, kuwashambulia watu kwa risasi, kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatenga na kuwapendelea watu kwa misingi ya ukabila na kanda, atawezaje kusahaulika kiurahisi?
Yaani wanashangaza sana aiseeWanapoelekea , kuna Viongozi watataka wazikwe Chato , wakifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwalimu amekosewa adabu,sieleweki vipi?hueleweki.
Je, hayo hayakufanyika? Yalifanyika chini ya utawala wa nani? Kuna hatua zozote uliona zilichukuliwa?Huna ushahidi wowote ule bali kuropoka Jamii Forum, shukuru kuna watu wameliwezesha hilo la wewe kupayuka.
Daaah hatari aisee hii chuki imepita kiwangoMnamuonea wivu hadi marehemu?!
unaelewa kwanini raisi yuko chato?Mwalimu amekosewa adabu,sieleweki vipi?
Hawataisha kama Tanzania day inafanyika Kenya wajinga wataishaje.haha dah hii nchi wajinga wataisha kweli?
Nyerere Day inahusiana vipi na vyombo vya ulinzi na usalama?
Acha upuuzi hilo dhalimu haliwezi kuwa mbadala wa NyerereUmeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Ndio maana mlivyo wapumbavu sherehe za Uhuru uwa zinaharishwa mnashangilia !!
Huwezi kunielewa Kama umeona kilichofanyika Leo na TISS wapo ni sawa!!