SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hakika yule Mhutu alikuwa mwovu sana,kuni ziendelee kuchochewaSabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Doh Mkuu hebu kunywa maji ushushe hiyo hasiraWasukuma Gang hii ndio uharo wao. Shetani Magufuli alikua mchawi jambazi na mwizi mkubwa. Huko alipo afe tena aliwe na funza. Masukuma jinga sana.
Huyu hata kama wananchi sasa wakiamua kuchukua sheria mkononi na kumtwanga mawe ni sawa tuu maana majambazi wengine mtaani wanamalizana nao tuu kisha serikali inatangaza wananchi wenye hasira kali wanetekeleza.
Naona mna hasira sana mbakaji wenu yuko kitaa!Mmhhh ni dhalimu yule yule ndio unamkingia kifua?
Kwa taarifa yako huyo kukaa ndani ilikuwa ni maigizo tu, anatakiwa aje huku mtaani ili ajue kuwa alikuwa mchumba tu.Naona mna hasira sana mbakaji wenu yuko kitaa!
Usihuzunike sana, Wala usifadhaike, kwani hayo yalisha pita. Lakini yanatuachia fundisho, kwa hiyo la msingi ni kujifunza, Ili yasijirudie tena! Never again!Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Hivi ukikiri kosa una samehewaSabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Huyu kijana kapitia magumu sana kwa miaka miwili, atulie sasa ajenge maisha yake.Kafungwa kifungo cha nje(suspended sentence) cha mwaka mmoja na faini(fidia) ya milioni tano.
Hii ni tofauti na kuachiwa huru kwani criminal records kuanzia sasa zitakuwa sehemu ya maisha yake plus hawezi kukata rufaa kwani amekiri makosa mwenyewe.
Ameen, na iwe hivyoHakika yule Mhutu alikuwa mwovu sana,kuni ziendelee kuchochewa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Utawala wa MagufuliSabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Kalime wewe uje utuuzie kilo ya mchele 1000, nyoko weUhalifu unaofanywa na awamu ya sita ni mbaya zaidi kuliko kipindi cha sabaya maana kwa sasa wtz wengi wanakufa kwa njaa inayotokana na kupandisha bei ya vyakula hovyohovyo akisaidiwa ba chawa wake
Kule kuzimu magufuri anashindia kifiro TU. Wanamla tigo mpaka katenguliwa nyonga anachrchemea. Wenzie wanamkandamiza nao sanaWasukuma Gang hii ndio uharo wao. Shetani Magufuli alikua mchawi jambazi na mwizi mkubwa. Huko alipo afe tena aliwe na funza. Masukuma jinga sana.
Leo utawala wa Magu upo Hadi iwe Aibu?Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Sabaya alikua anatumwa na Magu FULL full stopSabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.
Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Sabaya amesema alikua anatumwa na magu FULL Kwa hyo we mpwayungu unataka kusemaje labda. Hoja inapingwa Kwa hoja! Hutaki nenda kampige sabaya! Nyie si ndo mlikua wafuasi wa sabaya.‘Chema chajiuza, kibaya chajitembeza’
Uongo kwa Magufuli ata urudiwe vipi, watanzania wameukataa. Wanamjua vyema nyakati za uhai wake alikuwa anasimamia nini kwa maslahi mapana ya watanzania wote.
Magufuli ni brand inayojiuza yenyewe kwa sasa, baada ya miaka miwili ni muda wa kukubali matokeo watanzania awanunui hizo hadithi za udhalimu.
Whoever is trying to bring you down is already below 👇 you !! Nimeipenda hii saying of the wise !View attachment 2577791
Kanuni namba moja ya watu wenye wivu
Miaka miwili baadae, bado tu wanajaribu.
Wazungu wanamsemo ‘learn when to quit’.
Huyo mtu aliewahi kuishi Tanzania, mazuri yake ayawezi funikwa hasa kipindi hiki ambacho watanzania waliohai na akili zao timamu baada ya kuuona uongozi wake.
Busara ni kufanya yenu, mkubalike au mchukiwe kwa matunda ya kazi.
Magufuli kila siku inatosha, huo uongo watanzania walio wengi wameukataa.