Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu

Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu

Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Hakika yule Mhutu alikuwa mwovu sana,kuni ziendelee kuchochewa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wasukuma Gang hii ndio uharo wao. Shetani Magufuli alikua mchawi jambazi na mwizi mkubwa. Huko alipo afe tena aliwe na funza. Masukuma jinga sana.
Doh Mkuu hebu kunywa maji ushushe hiyo hasira
 
Huyu hata kama wananchi sasa wakiamua kuchukua sheria mkononi na kumtwanga mawe ni sawa tuu maana majambazi wengine mtaani wanamalizana nao tuu kisha serikali inatangaza wananchi wenye hasira kali wanetekeleza.

Najua kwa sasa ni hasira tu za hukumu ilivyotolewa wengi wetu hatukutegemea.Lakini hapo nilipoku quote si rahisi kiasi hicho,otherwise wangeanza na Makonda kama ingekuwa rahisi.Sabaya ataendelea kudunda mtaani na pengine unaweza ukashangazwa zaidi atakaposafishwa na akapata na uteuzi kabisa.CCM wanajuana wenyewe.
 
Naona mna hasira sana mbakaji wenu yuko kitaa!
Kwa taarifa yako huyo kukaa ndani ilikuwa ni maigizo tu, anatakiwa aje huku mtaani ili ajue kuwa alikuwa mchumba tu.
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Usihuzunike sana, Wala usifadhaike, kwani hayo yalisha pita. Lakini yanatuachia fundisho, kwa hiyo la msingi ni kujifunza, Ili yasijirudie tena! Never again!
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Hivi ukikiri kosa una samehewa
 
Kafungwa kifungo cha nje(suspended sentence) cha mwaka mmoja na faini(fidia) ya milioni tano.
Hii ni tofauti na kuachiwa huru kwani criminal records kuanzia sasa zitakuwa sehemu ya maisha yake plus hawezi kukata rufaa kwani amekiri makosa mwenyewe.
Huyu kijana kapitia magumu sana kwa miaka miwili, atulie sasa ajenge maisha yake.
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Utawala wa Magufuli
Ni huu

Makamu wa Raisi Samia Suluhu Hasani

Philip Isdori Mpango

Na wote walipo serikali hii

Hivyo ni aibu kwa serikali yote na CHAMA CHETUU CCM

NA LEO TENA LIPO DOSI NYINGINE TUMEPIGWA NA

LAIGWANINI SENDEKAA HUKOO WAGOGO
 
Uhalifu unaofanywa na awamu ya sita ni mbaya zaidi kuliko kipindi cha sabaya maana kwa sasa wtz wengi wanakufa kwa njaa inayotokana na kupandisha bei ya vyakula hovyohovyo akisaidiwa ba chawa wake
Kalime wewe uje utuuzie kilo ya mchele 1000, nyoko we
 
Sabaya ametolewa ili afe. Hawezi ishi kwa dhambi alizofanya waziwazi kwa jeuri ya magufuri.

Hata magufuri alikufa kwa sababu ya dhambi ya mauwaji na kuonea watu
 
Wasukuma Gang hii ndio uharo wao. Shetani Magufuli alikua mchawi jambazi na mwizi mkubwa. Huko alipo afe tena aliwe na funza. Masukuma jinga sana.
Kule kuzimu magufuri anashindia kifiro TU. Wanamla tigo mpaka katenguliwa nyonga anachrchemea. Wenzie wanamkandamiza nao sana
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Leo utawala wa Magu upo Hadi iwe Aibu?

Yaani utembee uchi wewe, AIBU waone wafu?

Bwege;Uliona wapi?
 
Uliona wapi JINAI Ina maridhiano?

Waliomwachia ndo wanajiaibisha kuridhiana kwenye JINAI.
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Sabaya alikua anatumwa na Magu FULL full stop
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM

Kuna mtu alishindwa kesi kwa kumtaja mfu kuwa ndiye alikuwa chanzo?

Mkuu Pascal Mayalla sheria zinasemaje kuhusu hili. Rejea kesi ya mama'ke Taji Liundi.
 
‘Chema chajiuza, kibaya chajitembeza’

Uongo kwa Magufuli ata urudiwe vipi, watanzania wameukataa. Wanamjua vyema nyakati za uhai wake alikuwa anasimamia nini kwa maslahi mapana ya watanzania wote.

Magufuli ni brand inayojiuza yenyewe kwa sasa, baada ya miaka miwili ni muda wa kukubali matokeo watanzania awanunui hizo hadithi za udhalimu.
Sabaya amesema alikua anatumwa na magu FULL Kwa hyo we mpwayungu unataka kusemaje labda. Hoja inapingwa Kwa hoja! Hutaki nenda kampige sabaya! Nyie si ndo mlikua wafuasi wa sabaya.

LEO HUYOHUYO SABAYA WENU AMEWAPIGA KWENYE MSHONO
 
View attachment 2577791

Kanuni namba moja ya watu wenye wivu

Miaka miwili baadae, bado tu wanajaribu.

Wazungu wanamsemo ‘learn when to quit’.

Huyo mtu aliewahi kuishi Tanzania, mazuri yake ayawezi funikwa hasa kipindi hiki ambacho watanzania waliohai na akili zao timamu baada ya kuuona uongozi wake.

Busara ni kufanya yenu, mkubalike au mchukiwe kwa matunda ya kazi.

Magufuli kila siku inatosha, huo uongo watanzania walio wengi wameukataa.
Whoever is trying to bring you down is already below 👇 you !! Nimeipenda hii saying of the wise !
 
Back
Top Bottom