Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Sasa mambo yenu ya kitandani ndyo unayafanyia matangazo. Yanni kama ungekuwa umeolewa na mimi tyari ni kasoro kwangu maana mwanamke unakiherere cha hali ya juu.
We huoni kuwa ni fahari!
 
Dah ila jamaa ana bahti. Yani wanawake wa ckuiz? !!!!!!!!!!!!!!!!Yani wewe ndye anaomba ngono sio mwanaume duuuh. Dada wewe ni hatar kama sio kimeo.
Kimeo Yule aliyeshindwa kukulea ktkt maadiri memaa..kakojoe ukalale plz pombe zikikuisha uje upyaa
 
Alafu unatoa picha kuwa umeangaika sana kuolewa. Ni dhahil kuwa midume mingi imepitia ukaishia kusikilizia ndoa barabarani misafara ikipita ya haruc. Pole ila unaudh
Haunihusu
 
Tatizo shule zenu ndogo
 
Moniccca Moniccca, Umekwepa swali kwenye thread iliyopita (Does Size Matter). Nilithani ungedokezea hapa kidogo.
I am very happy for you, Ngojea na mm niangalia usawa kwani Ukapera ni mgumu sana.
 
Haya nimekuelewa binti
 
Leo siku ya 4 katika ndoa unapata wapi muda wa kuingia kwenye mitandao, tulia na mwenzi wako ni mapema mno kwako kuanza kupost vitu kwenye hii mitandao ya kijamii.
At least umeongea point asante kwa ushauri
 
Ndio monicca yaani siku 4 tu umefikishwa kibo [emoji12] wakati wengine wanaanza "shake b4 use" miaka 5 hadi ndoa wanaishia moshi mjini tu wanabaki kuuona kibo na mawenzi kwa darubidi au siku isiyokuwa mawingu [emoji28] hadi menopause [emoji30]
Hahahahaha, afadhari kidogo nimecheka
 
Ndoa siyo sex tu Dada yangu ...we subiri utakuja utusimulie....wewe na F wa sugu hamtofautiani
 
are you serious umeolewa? hujisikii aibu kueleza humu habari za mumeo tena wa ndoa changa humu? umetuaibisha! siku ukilala njaa utamtangaza pia. hebu acha hizo tabia mambo ya mmeo ni yenu wawlili. muone

Huko kwenye kulala na njaa mi nilishavuka kitambo..namshukuru Mungu kwa kweli labda useme lingine kama unalo plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…