Una hakika au ndo kujiherehesha? Naona domo limekulegea kama umekunywa gongo     ....Ati "they are boring me"
Msomi wa masters huyo...Mwanamke akishavuka miaka thelathini bila hata dalili ya mchumba lazima achachawe...Na akimpata huyo wa kuoa atataka hata aolewe kesho..ye na mumewe wote walikua desperate na ndoa ndo mana hivi!
Limbukeni wa ndoa katika ubora wake! haukuwa na ulazima wa kujibu swali linalohusu mambo yako ya faragha!
hahahaaa huyoooo .... ndoa siku 4 tu unachachawa...Atajuta wewe mwenye uso kama umemwagiwa maji ya moto kwenye fumanizi..mbw..aa wa kienyeji wee mla majalalani
niende wapi nami nakuchora tu unavoogeshwa leo majibaridi utayaoga tu c umetaka mwenyewUmerudi tena et?
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa"THEY ARE BORING MEEEEEEEEEEE" Yaani balaa Ati MSOMI my FOOT.     ....Ati "they are boring me"
Msomi wa masters huyo...Mwanamke akishavuka miaka thelathini bila hata dalili ya mchumba lazima achachawe...Na akimpata huyo wa kuoa atataka hata aolewe kesho..ye na mumewe wote walikua desperate na ndoa ndo mana hivi!
Limbukeni wa ndoa katika ubora wake! haukuwa na ulazima wa kujibu swali linalohusu mambo yako ya faragha!
huyu monikcca asavali ya DOG angalao anaakili kidogo. issue yake hii ya 4days kwenye kugegedwa ni kama amejivua gagulo mtaa wa kongoNdyo maana nikasema you fooled us all before.
Niko darasa la"THEY ARE BORING ME"Siri nawewe wazijua siku hizi?_hongera kwa kunuka ufahamu..hivi upo darasa la ngap vile?
Aggyjay uko sahihi, lakini mashaka yangu ni kwamba;Vivac huyu dada hajielew flan hivi...Yaani mi mwenyewe nimemuona kitambo tu..Kaanza na tangazo la kutafuta mume humu jf,akaja na mrejesho kampata cjui walikua wanasoma wote miaka hiyo chuo na akadai anaolewa nae cjui baada ya mwez mmoja wa kujuana,akaja na thread eti huyu mchumba anamnyima dudu had ndoa,akaja tena ooh kesho kutwa naolewa,akaja siku ya harusi leo naolewa...Hata sasa kaleta mrejesho et mume anayaweza..Huoni kama n limbukeni huyu??
Labda hajqwekwa ndani na kupewa somo.
Shoga msitiri mumeo,maadili yq za kitanzania mke anatakiwa awe msitiri,ya chumbani yaishie chumbani myajue mume na mke tu.Ukishavuka mlango kuingia sebuleni anza ya hapo.Upoo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Usituaibishe!
We ni lini uliwahi kutana na mwanamke anaejielewa,mwanamke haswa hlf akakusimulia anavyopeana unyumba na mumewe,asiejitambua ndo yuko hivo na ndo mnajazana saluni kuwaongelea waume zenu..
Badilika
Huyu hana hata gagulo wala chupi anatembea uchi.huyu monikcca asavali ya DOG angalao anaakili kidogo. issue yake hii ya 4days kwenye kugegedwa ni kama amejivua gagulo mtaa wa kongo
dah natamani ningekuona ulivo sasahivi mana tangu asubhi ulipotia tu uzi wako. ulicho na unachoambulia sasa hivi ni bora ungefunga huu uzi ili ucje kuabika kwenye ndoa yako ya siku 4.Mwanaume mbea kama shangazi yako wa chanika loool! Vipi hivi Leo mtaani kwenu kuna nini kipya?
kwelieee????? duh!!Huyu hana hata gagulo wala chupi anatembea uchi.
Hilooooo[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] umeaibika!Una hakika au ndo kujiherehesha? Naona domo limekulegea kama umekunywa gongo
MONICCAA!! Kumbe ni mzaramo wa msanga.. ndo maanaaa..Hongera zako mwaya. Ila unikome mie sio saizi yako
AIIIIBU... HATA WWWEWEEE!!!!!Nimemuazima mkeo alisema hajawahi vaa kwakuwa hutaki kumnunulia we umekalia mipombe na umbea tu.
Hongera zako unajitahidi sana kushauri unaweza kuwa kungwi mzuri sana baadae kama ukiacha umbea na ufukunyungu ili kujengea heshima kwenye jamii.Hilooooo[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] umeaibika!
Nimekwambia hukuwa na ulzima wa kujibu swali linalohusiana na mambo yako ya faragha unabwabwaja ovyo..Naona umeishiwa point za kujibu,na pia hujitambui kwamba umeacha nafasi fulani siku chache zilizopita na umekwaa nafas nyingine..MKE WA MTU! kwa cheo hiki unatakiwa ujiweke tofauti na wale ulowaacha nyuma ili wapate cha kujifunza kwako dada,ili na wao wakiingia kwenye ndoa wajue wanatakiwa waishi vipi.Sasa imagine wewe ndoa ya kikristo mke uko bize kutukana mitandaoni..yan umekuwa ka mwehu flani hivi..Ya chumbani wayaweka nje.
Wewe ni limbukeni na usibishe kwa hilo.
HURUMAAAAA... anatia hurumaaa.. tumsemeeehHilooooo[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] umeaibika!
Nimekwambia hukuwa na ulzima wa kujibu swali linalohusiana na mambo yako ya faragha unabwabwaja ovyo..Naona umeishiwa point za kujibu,na pia hujitambui kwamba umeacha nafasi fulani siku chache zilizopita na umekwaa nafas nyingine..MKE WA MTU! kwa cheo hiki unatakiwa ujiweke tofauti na wale ulowaacha nyuma ili wapate cha kujifunza kwako dada,ili na wao wakiingia kwenye ndoa wajue wanatakiwa waishi vipi.Sasa imagine wewe ndoa ya kikristo mke uko bize kutukana mitandaoni..yan umekuwa ka mwehu flani hivi..Ya chumbani wayaweka nje.
Wewe ni limbukeni na usibishe kwa hilo.