Leo ni siku ya uhuru wa Tanzania ni Moja ya sikukuu kubwa sana wananchi kwa nchi zingine tofauti na Tanzania inabaki kuwa sikukuu ya serikali

Leo ni siku ya uhuru wa Tanzania ni Moja ya sikukuu kubwa sana wananchi kwa nchi zingine tofauti na Tanzania inabaki kuwa sikukuu ya serikali

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Leo ni 9 December ni sikukuu ya uhuru wa nchi yetu Tanzania ni sikukuu ambayo tunakutana watu wote kwa dini zote na sio sikukuu ya kidini hii ni ya wananchi wote.tofauti kabisa na ilivyo unakuta kila mtu anaendelea na shughuli zake na inabaki kama mapumziko tu ni sio siku ya kufalia.
Kwa wale waliowahi kutoka kidogo hizi siku kwa nchi zingine ni siku kubwa sana na ni siku ya kuonyesha na kufurahia utaifa wako nenda tu South Africa hapo siku ya uhuru wao shamrashamra zake
Juzi nilikuwa Dubai siku ya uhuru wao aiseee ni sikukuu aswaaaaa mtaani bendera picha mbali mbali ila hapa kwetu inabaki kuwa mapumziko na sikukuu ya serikali peke yake
Kuna aja kubadilka watanzania
 
Wenye kufurahia huo uhuru ni viongozi wa ccm na familia zao tu wananchi wengine wamebaki kuteseka,hawatakiwi kulalamika zaidi ya kupongeza watawala.
Watu hawaruhusiwi kuchagua viongozi wanaowataka,huduma za kijamii zimekuwa duni na hata pale zinazopatikana zinakuwa ni za kiwango cha chini na zinatolewa kama hisani tu ya mtu fulani ambaye kwa ujinga wa baadhi yetu tumekuwa watu wa kuabudu na kusifu huku mwenyewe naye akijikweza akiona ni kweli yeye ndiye mfadhili wa miradi yote inayotekelezwa kwa pesa za umma chini ya serikali.
Pia Nakukumbusha maadhimisho haya ya uhuru ni ya Tanganyika,mwaka 1961 hiyo unayoiita Tanzania haikuwepo.
 
Leo ni 9 December ni sikukuu ya uhuru wa nchi yetu Tanzania ni sikukuu ambayo tunakutana watu wote kwa dini zote na sio sikukuu ya kidini hii ni ya wananchi wote.tofauti kabisa na ilivyo unakuta kila mtu anaendelea na shughuli zake na inabaki kama mapumziko tu ni sio siku ya kufalia.
Kwa wale waliowahi kutoka kidogo hizi siku kwa nchi zingine ni siku kubwa sana na ni siku ya kuonyesha na kufurahia utaifa wako nenda tu South Africa hapo siku ya uhuru wao shamrashamra zake
Juzi nilikuwa Dubai siku ya uhuru wao aiseee ni sikukuu aswaaaaa mtaani bendera picha mbali mbali ila hapa kwetu inabaki kuwa mapumziko na sikukuu ya serikali peke yake
Kuna aja kubadilka watanzania
Leo ni siku ya UHURU wa Tanganyika na si wa Tanzania watanganyika mnatia aibu hata UHURU wenu mnaukana?
 
Leo ni siku ya UHURU wa Tanganyika na si wa Tanzania watanganyika mnatia aibu hata UHURU wenu mnaukana?
Nashukuru kwa marekebisho hii Ni siku ya furaha kama mwananchi
 
Kumbe ndo maana chama cha kijani kinaendelea kutawala licha ya kuchokwa maan kilishaona raia wake ni mazwazwa na wanaendelea kuwapa elimu ya kizwazwa. Hivi mlisoma wapi kuwa kuna nchi inaitwa TANZANIA iliyopata uhuru. Haya mapinduzi ya Syria bora yangefika huku, wananchi waweze kujitambua.
 
Leo ni 9 December ni sikukuu ya uhuru wa nchi yetu Tanzania ni sikukuu ambayo tunakutana watu wote kwa dini zote na sio sikukuu ya kidini hii ni ya wananchi wote.tofauti kabisa na ilivyo unakuta kila mtu anaendelea na shughuli zake na inabaki kama mapumziko tu ni sio siku ya kufalia.
Kwa wale waliowahi kutoka kidogo hizi siku kwa nchi zingine ni siku kubwa sana na ni siku ya kuonyesha na kufurahia utaifa wako nenda tu South Africa hapo siku ya uhuru wao shamrashamra zake
Juzi nilikuwa Dubai siku ya uhuru wao aiseee ni sikukuu aswaaaaa mtaani bendera picha mbali mbali ila hapa kwetu inabaki kuwa mapumziko na sikukuu ya serikali peke yake
Kuna aja kubadilka watanzania

Leo ni siku ya uhuru wa Tanganyika na siyo Tanzania. Tanzania 🇹🇿 haikuwahi kuwepo kipindi cha ukoloni.
 
Wanaona Aibu hata kuisherekea sababu ya mambo ya Ajabu wanayoyafanya
 
Ki mantik jamaa kusema TANZANIA/ TANGANYIKA.
Tatizo ujuaji ni mwingi miongoni mwetu/

Maneno kitu simple chafu pozi/
 
Leo ni 9 December ni sikukuu ya uhuru wa nchi yetu Tanzania ni sikukuu ambayo tunakutana watu wote kwa dini zote na sio sikukuu ya kidini hii ni ya wananchi wote.tofauti kabisa na ilivyo unakuta kila mtu anaendelea na shughuli zake na inabaki kama mapumziko tu ni sio siku ya kufalia.
Kwa wale waliowahi kutoka kidogo hizi siku kwa nchi zingine ni siku kubwa sana na ni siku ya kuonyesha na kufurahia utaifa wako nenda tu South Africa hapo siku ya uhuru wao shamrashamra zake
Juzi nilikuwa Dubai siku ya uhuru wao aiseee ni sikukuu aswaaaaa mtaani bendera picha mbali mbali ila hapa kwetu inabaki kuwa mapumziko na sikukuu ya serikali peke yake
Kuna aja kubadilka watanzania
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania iliwahi Kupata uhuru tarehe 9 December. Bali kuna nchi iitwayo Tanganyika
 
Yaani mwaka 63 wa UHURU .Mpaka sasa UMEME NA MAJI NA BARABARA NI SHIDAAA
 
Back
Top Bottom