Itoshe kusema kwamba huu uzi unachochea machafuko jfLeo ni siku ya watu wafupi a.k.a mbilikimo au vijeba au gas cylinder. Mtagi member yoyote wa jf unayehisi ni gas cylinder ili aje kusherehekea na tumpongeze katika siku yake hii maalum.
Siku yetu ikifika hatutaki kuona hawa vijeba kwenye shughuli zetu maana wanafujo na niwagomvi sanaNyie mnaonekana deilee so ni wakati "short circuit" time π€£π€£
Kunywa lita utakazo ntakuja lipa leo ni siku yenu ofa kama zote πNdiyo maana nina furaha sana.Ngoja nitafute raizoni zangu nitinge nikanywe mbege.
Mi bana niko kawaida sio mfupi na pia sio mrefu πΉπΉπΉSafi siku yenu inakuja usije kukimbia tuπ π π
Mada za hivi huwa hazinigusi sababu mie niko wastani/ katikati si mrefu si mfupi, si mnene si mwembamba, nk
Tayari jiwe gizani π€£π€£π€£Umewasingizia
Mbirikimo mwenyewe!
Heri ya sikukuuSawa
Halafu wakiwa na hasira wanapenda miwa ya vifuko kushusha presha π€£π€£π€£Siku yetu ikifika hatutaki kuona hawa vijeba kwenye shughuli zetu maana wanafujo na niwagomvi sana
NIlisema huu uzi unachochea machafukoπMbirikimo mwenyewe!
Wafupi wanajijua hakuna haja ya kulinganishwa na mtuUfupi akilinganishwa na nani?
Wee,umemkosea Sana aiseeπHope urassa ana 5.68 nimemuwish ook nitaheshimu umri ππ
To yeye GENTAMYCINE OKW BOBAN SUNZU Kalpana ephen_Leo ni siku ya watu wafupi a.k.a mbilikimo au vijeba au gas cylinder. Mtagi member yoyote wa jf unayehisi ni gas cylinder ili aje kusherehekea na tumpongeze katika siku yake hii maalum.
weekend, na kibaridi hiki kabananishwa, ila kuna ID mchana imeniwakia nahisi ni yeyeMi bana niko kawaida sio mfupi na pia sio mrefu πΉπΉπΉ
Hivi shemeji yuko wapi sijamuona hizi siku mbili tatu?? Isije kuwa kavuta.!!
Sijamzoea kabisaaa kukaa kimya kiasi hiki
π€£π€£π€£Tayari jiwe gizani π€£π€£π€£
Ila sijali nimeongea na TFF wote shortiii mtakaa nyuma ya goli na 2half mtahama na goli zenu mtazofungwaa
π€£π€£π€£π€£ππππ