Leo ni TBT hebu sema ni beat ya wimbo upi ambayo ukiisikia tuu inaanza unapagawa

Leo ni TBT hebu sema ni beat ya wimbo upi ambayo ukiisikia tuu inaanza unapagawa

Wadau mimi ni Beat ya wimbo wa MIKASI wa ManNgwair na Beat ya wimbo wa NIKUSAIDIJE wa prof Jay. Aisee hata kama nimekasirika naanza kupata raha tuu. Yani natamani kucheza au kutingisha kichwa. Zinanikumbusha life ya shule boarding enzi hizo tukienda kucheza disco shule za boys. Karibuni
Wifey next
 
Baby me tamala ... usiku kucha sijalala ... nakusubiri wewe outside!...

Dah! Twende kazi sasa ....


Najaribu kuchombeza, nione ujasiri wako. ..

Msichana kama wewe kwako niwe peke yako...

Najua ni vigumu, kwa mwanamke kutamka...

Lakini nahitaji nisikie sauti yako....

Oooo mwana Tamalaaaa ....


Dah! Yan unaweza ukafikia orgasm kabisa! Hasa hapa sasa, twendeee ...

... najua kuna kitu unataka kunieleza, lakini unaona kama vile sitasikia ...

KUKUTANA KWA MACHO KUSIKUOGOPESHEEEEE ....
 
Beat ya salome ile ya dully sykes

Enzi hizo ukiisikia hii beat raha sana baada ya kupigwa huo wimbo unafatia wa zeze by TID
 
Back
Top Bottom