Fuso kama Fuso.Yanga na basi lao..........Simba kwenye Fuso lao tandam kama viroba vya nyanya. Hiyo tu inaonesha picha,,
Nakujua vizuri mkuu, kwenye ngebe na michambo huwa uko vizuri. Unaweza kujiuliza nimeyajulia wapi hayo, ni kwenye nyuzi za diamond na WCB.Kawaida mbona nyie mliusubiria miaka mitano kipindi hiko timu yenu inashindia chapati za Kaduguda mpaka sasa hamjamlipa Kaduguda hela yake ya Chapati.
Tuachane na hayo naona hii canter ya mkaa ya mwaka juzi MO alikata kwenye zile Billion 20 zake.
View attachment 2273146
Kwani kuna la uongo nilosema vumilia ndio mpira ,Kaduguda alidai hela yake ya chapati kwenye radio,kama hujui simba alikaa miaka 5 mfululizo bila kombe basi wewe Simba huijui ,pili hilo gari halihitaji maelezo lina jieleza hio sio michambo ni ukweli kwako una michambo labda may be nyie mshazoea kuchambana na ndio maana mnadaina mpaka hela za chapati.Nakujua vizuri mkuu, kwenye ngebe na michambo huwa uko vizuri. Unaweza kujiuliza nimeyajulia wapi hayo, ni kwenye nyuzi za diamond na WCB.
HIVYO BASI, kwakua mimi sio mtaalamu kwenye angle hiyo inabidi nikuache tu.
Miaka 4 bila kombe kweli ni matesoWadau, Wapenzi, Wafuatiliaji wengi wa soka la Tanzania wamekuwa wakisema Kuwa Kila kundi la Watanzania 10 basi 7 ni Mashabiki wa Yanga SC.
Kauli hiyo ilikuwa inanipa wasiwasi sana kuiamini na nilikuwa nina mashaka nayo kwa muda mrefu sana.
Ila leo nimejidhihirisha beyond shaka yeyote kuwa naam Hii klabu inaongoza kupendwa na kufuatiliwa zaidi na wafuasi wa soka kutoka Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati.
Inapendeza sana.
View attachment 2272928
View attachment 2272929
View attachment 2272930
Nawashauri simba wafuate nyayo za yanga ili wafikie level hizi. Wasirudi tena nyuma kwenye enzi za ukabaila.
View attachment 2272933
[emoji23]
Hapa dar tunajua watu wanapenda sana matukio, hata vigoma vya mtaani huwa havihudhuriwi na wahusika walio alikwa, kuna makundi ya watu wanakuja kwakufuata burudani ya mademu wanaokata miuno, itakuwa ujinga kutoka nje uanze kutamba eti sherehe ilifana kwasababu unajulikana sana mtaani.Yanga ni timu ya Wananchi wa Tanzania! Ni tofauti kabisa na ile ya wale ndugu kutoka Bombay.
Kibaya zaidi kuhusu michambo ni kuandika mgazeti marefu yasiyo ya lazima kama hivyo, ndiomaana tangu mwanzo nimekataa.Kwani kuna la uongo nilosema vumilia ndio mpira ,Kaduguda alidai hela yake ya chapati kwenye radio,kama hujui simba alikaa miaka 5 mfululizo bila kombe basi wewe Simba huijui ,pili hilo gari halihitaji maelezo lina jieleza hio sio michambo ni ukweli kwako una michambo labda may be nyie mshazoea kuchambana na ndio maana mnadaina mpaka hela za chapati.
Hamna gazeti hapo,kwani ubora wa kombe lilopita ulikuwa una quantify kwa metrics zipi ukilinganisha na sasa.Kibaya zaidi kuhusu michambo ni kuandika mgazeti marefu yasiyo ya lazima kama hivyo, ndiomaana tangu mwanzo nimekataa.
Hoja yangu ilikuwa ni ubora wa kombe msimu ujao liboreshwe au waweke tenda ili kupata kitu bora, wewe ukaja na hoja ya chapati ndomaana nikakukataa.
JIONI NJEMA.
Sasa tegemea matusi ya bambukicha kwenda kwa sir Pitso.
Ona sasa! Watu wazito kama hawa Afrika wanakubaliana na Wananchi! Ila cha kushangaza ndani ya Bongo hii hii, kuna watu roho zinawauma.
Maskini inatia hurumaa🤔🤔🤔Mikia wanashangilia kimoyomoyo View attachment 2272973
Hawa wenzetu MALI wamewezaje kuwa na kombe zuri? Nafikiri kuwepo na tenda juu ya utengenezaji wa makombe ya ligi kuanzia msimu ujao.View attachment 2273028
RB/Mby/25.6./Sokoine/Blenda.2022
Imeripotiwa upotevu wa blenda ya kutengenezea juisi/shalubati ya parachichi pale Mbeya karibu na uwanja wa Sokine.
Dola linaendelea na uchunguzi, kama una taarifa zozote muhimu toa taarifa kituo cha jeshi karibu nawe!
Nb. Mishikio ya kinu cha blenda imefungiwa kwa screw mbilimbili.
Imesainiwa.View attachment 2273174
Mitopolo imeona mwezi. Ni stress ya kukosa ubingwa miaka 4.