Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Yanga na basi lao..........Simba kwenye Fuso lao tandam kama viroba vya nyanya. Hiyo tu inaonesha picha,,
Fuso kama Fuso.
[emoji116]
JamiiForums-1435612176.jpg
 
Kawaida mbona nyie mliusubiria miaka mitano kipindi hiko timu yenu inashindia chapati za Kaduguda mpaka sasa hamjamlipa Kaduguda hela yake ya Chapati.

Tuachane na hayo naona hii canter ya mkaa ya mwaka juzi MO alikata kwenye zile Billion 20 zake.
View attachment 2273146
Nakujua vizuri mkuu, kwenye ngebe na michambo huwa uko vizuri. Unaweza kujiuliza nimeyajulia wapi hayo, ni kwenye nyuzi za diamond na WCB.

HIVYO BASI, kwakua mimi sio mtaalamu kwenye angle hiyo inabidi nikuache tu.
 
Nakujua vizuri mkuu, kwenye ngebe na michambo huwa uko vizuri. Unaweza kujiuliza nimeyajulia wapi hayo, ni kwenye nyuzi za diamond na WCB.

HIVYO BASI, kwakua mimi sio mtaalamu kwenye angle hiyo inabidi nikuache tu.
Kwani kuna la uongo nilosema vumilia ndio mpira ,Kaduguda alidai hela yake ya chapati kwenye radio,kama hujui simba alikaa miaka 5 mfululizo bila kombe basi wewe Simba huijui ,pili hilo gari halihitaji maelezo lina jieleza hio sio michambo ni ukweli kwako una michambo labda may be nyie mshazoea kuchambana na ndio maana mnadaina mpaka hela za chapati.
 
Kweli kabisa mashabiki wa yanga wengi ma dish yameyumba kama mashabiki wanaweza kujazana airport kumbeba mwenyekiti wao na kupokea wageni wakija kucheza nchini ulitegemea leo wafanye nini kwenye hilo muondoe kikwete na Sunday manara tu.
 
Wadau, Wapenzi, Wafuatiliaji wengi wa soka la Tanzania wamekuwa wakisema Kuwa Kila kundi la Watanzania 10 basi 7 ni Mashabiki wa Yanga SC.

Kauli hiyo ilikuwa inanipa wasiwasi sana kuiamini na nilikuwa nina mashaka nayo kwa muda mrefu sana.

Ila leo nimejidhihirisha beyond shaka yeyote kuwa naam Hii klabu inaongoza kupendwa na kufuatiliwa zaidi na wafuasi wa soka kutoka Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati.

Inapendeza sana.

View attachment 2272928
View attachment 2272929
View attachment 2272930

Nawashauri simba wafuate nyayo za yanga ili wafikie level hizi. Wasirudi tena nyuma kwenye enzi za ukabaila.
View attachment 2272933

[emoji23]
Miaka 4 bila kombe kweli ni mateso
 
Yanga ni timu ya Wananchi wa Tanzania! Ni tofauti kabisa na ile ya wale ndugu kutoka Bombay.
Hapa dar tunajua watu wanapenda sana matukio, hata vigoma vya mtaani huwa havihudhuriwi na wahusika walio alikwa, kuna makundi ya watu wanakuja kwakufuata burudani ya mademu wanaokata miuno, itakuwa ujinga kutoka nje uanze kutamba eti sherehe ilifana kwasababu unajulikana sana mtaani.

Hilo tukio lenu mliliqnza kulipigia promo mwezi mmoja uliopita. Leo jumapili watu hawana pakwenda hakuna tukio lingine la kuwafanya watu wapoteze muda zaidi ya sherehe yenu.

Waliohudhuria sio mashabiki pekee kuna wapita njia wamekuwa motivated, kuna hadi mashabiki wa simba nao wamekuja huko, wengine wamekuja kufata burudani ya mziki, wengine kuangalia kombe nk.


Si unit ya kujua nani ana mashabiki ilikuwa ni ile ya nani zaidi ambayo nyinyi mlisanda, huo mlundikano wa watu barabarani sio kipimo kumbuka pia kuna kongamano la CCM nalo linafanyika leo.
 
Kwani kuna la uongo nilosema vumilia ndio mpira ,Kaduguda alidai hela yake ya chapati kwenye radio,kama hujui simba alikaa miaka 5 mfululizo bila kombe basi wewe Simba huijui ,pili hilo gari halihitaji maelezo lina jieleza hio sio michambo ni ukweli kwako una michambo labda may be nyie mshazoea kuchambana na ndio maana mnadaina mpaka hela za chapati.
Kibaya zaidi kuhusu michambo ni kuandika mgazeti marefu yasiyo ya lazima kama hivyo, ndiomaana tangu mwanzo nimekataa.

Hoja yangu ilikuwa ni ubora wa kombe msimu ujao liboreshwe au waweke tenda ili kupata kitu bora, wewe ukaja na hoja ya chapati ndomaana nikakukataa.

JIONI NJEMA.
 
Kibaya zaidi kuhusu michambo ni kuandika mgazeti marefu yasiyo ya lazima kama hivyo, ndiomaana tangu mwanzo nimekataa.

Hoja yangu ilikuwa ni ubora wa kombe msimu ujao liboreshwe au waweke tenda ili kupata kitu bora, wewe ukaja na hoja ya chapati ndomaana nikakukataa.

JIONI NJEMA.
Hamna gazeti hapo,kwani ubora wa kombe lilopita ulikuwa una quantify kwa metrics zipi ukilinganisha na sasa.

Weight ya material (material ya aina gani), width, length, Height? Au may be kombe lilopita Calcus, Complex number na trigonometric ratio zilihusika.?
 
Hawa wenzetu MALI wamewezaje kuwa na kombe zuri? Nafikiri kuwepo na tenda juu ya utengenezaji wa makombe ya ligi kuanzia msimu ujao.View attachment 2273028

Mmekulia katika maisha ya kuiga iga.

Kila kitu mnaona inafaa kuoga.

Hata darasani huenda mlikuwa mnaigia kwa wengine.

Amekwambia nani tunahitaji taji lenye kufanana na kombe la EUFA CHAMPIONS LEAGUE?
 
Alhamdulillah nimelishuhudia Live leo maeneo ya Airport, kwa kweli Wananchi wamejua kuisimamisha Dar na Viunga vyake,[emoji3060]

#We are the Champions#[emoji169][emoji172]
 
RB/Mby/25.6./Sokoine/Blenda.2022

Imeripotiwa upotevu wa blenda ya kutengenezea juisi/shalubati ya parachichi pale Mbeya karibu na uwanja wa Sokine.
Dola linaendelea na uchunguzi, kama una taarifa zozote muhimu toa taarifa kituo cha jeshi karibu nawe!
Nb. Mishikio ya kinu cha blenda imefungiwa kwa screw mbilimbili.

Imesainiwa.View attachment 2273174

IMG_0500.jpg
 
Back
Top Bottom