Akikujibu nipo paleee uniite mkuuHamna gazeti hapo,kwani ubora wa kombe lilopita ulikuwa una quantify kwa metrics zipi ukilinganisha na sasa.
Weight ya material (material ya aina gani), width, length, Height? Au may be kombe lilopita Calcus, Complex number na trigonometric ratio zilihusika.?
Kweli kabisa mashabiki wa yanga wengi ma dish yameyumba kama mashabiki wanaweza kujazana airport kumbeba mwenyekiti wao na kupokea wageni wakija kucheza nchini ulitegemea leo wafanye nini kwenye hilo muondoe kikwete na Sunday manara tu.
Mazoea ya kunyakua ubingwa na vikombe vyote kwa miaka mingi.Mikia wanashangilia kimoyomoyo View attachment 2272973
Miaka 4 bila kombe sio mchezo aisee, achana na kombe la enzi ya chama kimojaUsiseme kombe.
Sema Kombe la 28.
Mara wasema kombe baya,mara basi baya......yaani ni zaidi ya stressMaskini inatia hurumaa🤔🤔🤔
Mikia kazi mnayo,mmepigwa na kitu kizito..... mlikuwa busy kushangaa mapokezi ya mabingwa mkasahau hata mechi yenu ya Mbeya,asukile akapapasaMitopolo imeona mwezi. Ni stress ya kukosa ubingwa miaka 4.
Ilikuwa ni mechi ya bonanza. Hamkuona leo tulimchezesha mchezaji mmoja tu wa 1st eleven (in Onyango)?Mikia kazi mnayo,mmepigwa na kitu kizito..... mlikuwa busy kushangaa mapokezi ya mabingwa mkasahau hata mechi yenu ya Mbeya,asukile akapapasa
Wewe kama muafrika kidampa kuna kipi ambacho haujaiga??Mmekulia katika maisha ya kuiga iga.
Kila kitu mnaona inafaa kuoga.
Hata darasani huenda mlikuwa mnaigia kwa wengine.
Amekwambia nani tunahitaji taji lenye kufanana na kombe la EUFA CHAMPIONS LEAGUE?
Azam na simba walishachukua ubingwa bila kufungwa ndio maana tunawashangaaUbingwa mmoja wa Yanga wa bila kupoteza mchezo wa ligi umefunika miaka minne ya ubingwa wa Simba!
mashabiki wa Simba wanaumwa, wana hasira wanatukana ovyo ukikaa nae karibu ukatetema unaweza kupokea Makonde mazito!!
Daima Mbele Nyuma Mwiko!
Msimu huu Simba mlisajili wachezaji wangapi?Ilikuwa ni mechi ya bonanza. Hamkuona leo tulimchezesha mchezaji mmoja tu wa 1st eleven (in Onyango)?
Hujawahi kukutana na aliyekaa miaka mitano bila mtoto, furaha yake ilipiliza mpaka wakakodi fuso la kumbebea mwali.Ni sawa uishi na mkeo miaka mi 4 hujapata mtoto, siku mbahatike kupata mtoto hiyo furaha yake haisimuliki.
vipi matako ya nyie matajiri yanaliajehaya ni mataqo ya masikini yanalia mbwata
Kombe lenu zuri lipo wapiSina shaka na ubingwa mliobeba (kila mtu anajua) lakini hebu tuongeeni ule uhalisia wakuu, hivi hili linaweza kuwa kombe la ligi kuu tena inayosemekana kuwa ni bora? Ngoja niwaletee la wenzetu.
View attachment 2273009
Una hasira hadi una squirt kama demu wa kihayaHapa dar tunajua watu wanapenda sana matukio, hata vigoma vya mtaani huwa havihudhuriwi na wahusika walio alikwa, kuna makundi ya watu wanakuja kwakufuata burudani ya mademu wanaokata miuno, itakuwa ujinga kutoka nje uanze kutamba eti sherehe ilifana kwasababu unajulikana sana mtaani.
Hilo tukio lenu mliliqnza kulipigia promo mwezi mmoja uliopita. Leo jumapili watu hawana pakwenda hakuna tukio lingine la kuwafanya watu wapoteze muda zaidi ya sherehe yenu.
Waliohudhuria sio mashabiki pekee kuna wapita njia wamekuwa motivated, kuna hadi mashabiki wa simba nao wamekuja huko, wengine wamekuja kufata burudani ya mziki, wengine kuangalia kombe nk.
Si unit ya kujua nani ana mashabiki ilikuwa ni ile ya nani zaidi ambayo nyinyi mlisanda, huo mlundikano wa watu barabarani sio kipimo kumbuka pia kuna kongamano la CCM nalo linafanyika leo.
Nendeni Mali mkashiriki kombe zuriHawa wenzetu MALI wamewezaje kuwa na kombe zuri? Nafikiri kuwepo na tenda juu ya utengenezaji wa makombe ya ligi kuanzia msimu ujao.View attachment 2273028
Nmeipenda hio jezi ya wanachi wa SAWewe kama muafrika kidampa kuna kipi ambacho haujaiga??
Hapa bongo na Africa ni lini ulitokea ubongo wa kuanzisha kitu na dunia ikakifata, kama waliojipambanua kama watu mashuhuri hapa africa hawajawahi kuvumbua kitu, wewe chokoraa wa hapa TZ (jf) tuseme vipi?Hilo swala la bus hamjaiga? Sisi kama waafrika kuiga ni MUST, na kama vizuri sio kosa😂.
Hutaki kuwa na kombe linalofanana na la UEFA ila unataka tuendelee kuwa na kombe kama zururu?Haya sasa hebu jaribu kulinganisha hili kombe letu na wenzetu hawa wa SA.
Acheni kuropoka, sisi ni Simba Sc hatujashinda ubingwa lakini ni lazima tuseme maana kuja kubebe kombe la hivi (ikitokea) ni fedheha.View attachment 2273393