Uchaguzi 2020 Leo nimeamini Mbowe mzalendo, Wahariri TBC wachukuliwe hatua kutangaza kinyume na sheria za utangazaji

Uchaguzi 2020 Leo nimeamini Mbowe mzalendo, Wahariri TBC wachukuliwe hatua kutangaza kinyume na sheria za utangazaji

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji. Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia kama aonyeshe je anasikika live? Yule mtu alitoa ishara ya Siri ya kuwa ndiyo. Akaona akiwakaribisha Lissu na Salum Mwalimu Live TBC itaingia matatizoni akawaambia ondokeni hatuwataki fungeni vyombo vyenu kwendeni zenu.

Hilo tamko nimelikubali Mia kwa Mia kwa sababu TBC walikiuka sheria za utangazaji kipande Cha mwanzo Cha hotuba ya Mbowe.

Mbowe alifanya vile kama mzalendo namuombea CCM naomba tusiweke nguvu sana Jimbo la Mbowe kumtoa ana uzalendo.

Mafundi mitambo na wahariri wa TBC waliokuwepo Leo Mbagala wachukuliwe hatua na TBC haraka na Mbowe aachiwe Jimbo hata alishindwa naomba Raisi Magufuli mpe uteuzi ubunge wa viti vya kuteuliwa Yuko vizuri kulinda maslahi ya taifa na uzalendo. Amenigusa Sana jopo la TBC kikishindwa kuona Hadi Mbowe aone?

Zaidi, soma: News Alert: - Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Lema amepanda jukwaani TBC wakakata hotuba yake wakaenda studio, watangazaji wakaanza kuongea wao

Mnyika, Katibu Mkuu wa chama, amepanda jukwaani TBC wakakata hotuba yake wakaenda studio, watangazaji wakaanza kuongea wao

Potential future First Lady amepanda jukwaani TBC wakakata hotuba yake wakaenda studio, watangazaji wakaanza kuongea wao

Mwenyekiti wa chama Mbowe amepanda jukwaani TBC wakakata hotuba yake wakaenda studio, watangazaji wakaanza kuongea wao

This is unacceptable by any standards...

Wangeacha tu kufanya maigizo ya kurusha mkutano mubashara

Maana yale ni maigizo
 
Mbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji .Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia Kama aonyeshe je anasikika live?

Yule mtu alitoa ishara ya Siri ya kuwa ndiyo .Akaona akiwakaribisha Lisu na Salum Mwalimu Live TBC itaingia matatizoni akawaambia ondokeni hatuwataki fungeni vyombo vyenu kwendeni zenu...
Hivi huyu aliyeandika ni wewe ama umeacha mtoto wako wa darasa la tano aandike???
 
Hivi huyu aliyeandika ni wewe ama umeacha mtoto wako wa darasa la tano aandike???
Mimi mwenyewe ndio nimeandika TBC walitakiwa wazime mitamb Mbowe alipoanza kuongea vitu vilivyo kinyume na sheria za utangazaji hawakutakiwa kusubiri Hadi Mbowe awavurumishe waondoke wasisisubiri hotuba iliyo kinyume na sheria za utangazaji ya Lisu.

TBC Leo walikuwa Kama mibwege fulani hotuba tu ya Mbowe Kila mjinga anajua walitakiwa kuzima mitambo Alisema wazi sera hatutaongelea akatoa madudu kinyume Cha sheria za utangazaji TBC wakawa Wako tu hewani Kama mibwege

Mbowe ndio akaamua kuwafokea ondokeni mabwege nyie TBC kuiokoa TBC

Ndio maana namuombea ubunge Ni mzalendo kwa hili
 
Mimi mwenyewe ndio nimeandika TBC walitakiwa wazime mitamb Mbowe alipoanza kuongea vitu vilivyo kinyume na sheria za utangazaji hawakutakiwa kusubiri Hadi Mbowe awavurumishe waondoke wasisisubiri hotuba iliyo kinyume na sheria za utangazaji ya Lisu .TBC Leo walikuwa Kama mibwege fulani hotuba tu ya Mbowe Kila mjinga anajua walitakiwa kuzima mitambo Alisema wazi sera hatutaongelea akatoa madudu kinyume Cha sheria za utangazaji TBC wakawa Wako tu hewani Kama mibwege

Mbowe ndio akaamua kuwafokea ondokeni mabwege nyie TBC kuiokoa TBC

Ndio maana namuombea ubunge Ni mzalendo kwa hili
Mkuu hueleweki
 
🤣 🤣 🤣 Jimbo la Mbowe tunalichukua asubuhi. Tunataka awepo mtu anawasemea watu hao.
Mimi CCM hata tukilichukua jimbo la Mbowe namuombea ubunge wa kuteuliwa Leo TBC wangerusha live kila kitu bila Mbowe mzalendo kufukuza TBC saa hii tingekuwa tunaongea mengine
 
Back
Top Bottom