kijana wa ngara
Member
- Aug 26, 2020
- 5
- 9
Kwel TBC ni bomu linalosubiri kulipuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangu 1977Mmeanza lini
Jr[emoji769]
Mpuuzi kweli...kumwambia mwenzio amechanganyikiwa ndo hojaCCM huwa tunapingana kwa hoja kwa maslahi mapana ya chama!
Mwaka wa ishirini mkisema hivyo.huijui hii moshi wewe.MOSHI NI CHUO CHA SIASA.KAMUULIZE DAVIS MOSHA UCHAGUZI ULIOPITA ALITUMIA ZAIDI YA BILLION 5 .Moshi ni chuo cha siasa mkuu.🤣 🤣 🤣 Jimbo la Mbowe tunalichukua asubuhi. Tunataka awepo mtu anawasemea watu hao.
Kwa hiyo hapo umempinga kwa lipi?CCM huwa tunapingana kwa hoja kwa maslahi mapana ya chama!
kipara kipya na YEHODAYA Ninyi ni wamoja msisigane tafadhari.Hiki ulichoandika inaonyesha jinsi gani umechanganyikiwa!
yameanza kufarakana YEHODAYA na kipara kipya . mpaka watubu na kukubali kuwa Lissu ni jembe zaidi ya jiweKada mwenzako huyo
Jr[emoji769]
Acha uongo! Umekurupuka kama baba ako kule Kilosa, ulikua hujamwelewa taga mwenzako!CCM huwa tunapingana kwa hoja kwa maslahi mapana ya chama!
Huwezi kuliona mpaka uwe mwanaccmKwa hiyo hapo umempinga kwa lipi?
Inaitwa "friendly fire!!" Hali hiyo hutokea sana hususan wakati mambo yakionekana kwenda harijojo!!Kada mwenzako huyo
Jr[emoji769]
Umeona idadi ya waliohudhuria uzinduzi mbagala? Temeke Mbagala ndiko kunaongoza kwa population kubwayameanza kufarakana YEHODAYA na kipara kipya . mpaka watubu na kukubali kuwa Lissu ni jembe zaidi ya jiwe
Hadi ninyi migambo wa CCM mnaruka na kukanyagana. Kweli kifo Cha mende hata atapetape vipi atakufa tu.Hiki ulichoandika inaonyesha jinsi gani umechanganyikiwa!
Kwa hiyo lissu ni mpuuzi maana anapenda kulitumia hilo neno anasema ndio hoja!Mpuuzi kweli...kumwambia mwenzio amechanganyikiwa ndo hoja
Hahahaha. Eti chuo cha nini!? Mwaka huu Mbowe hatoki.Mwaka wa ishirini mkisema hivyo.huijui hii moshi wewe.MOSHI NI CHUO CHA SIASA.KAMUULIZE DAVIS MOSHA UCHAGUZI ULIOPITA ALITUMIA ZAIDI YA BILLION 5 .Moshi ni chuo cha siasa mkuu.
...Mataga mwenzako huyo hajapewa Buku7 yake ndo maana yupo hapa anaweweseka.Hiki ulichoandika inaonyesha jinsi gani umechanganyikiwa!
Wew na zombiz wenzioKwa hiyo lissu ni mpuuzi maana anapenda kulitumia hilo neno anasema ndio hoja!