Uchaguzi 2020 Leo nimeamini Mbowe mzalendo, Wahariri TBC wachukuliwe hatua kutangaza kinyume na sheria za utangazaji

Uchaguzi 2020 Leo nimeamini Mbowe mzalendo, Wahariri TBC wachukuliwe hatua kutangaza kinyume na sheria za utangazaji

Dawa imewaingia TBC na imewakolea, wamepanic vibaya mno, ni aibu kwa chombo cha habari kufukuzwa na kukatazwa kutorusha matangazo kwa tabia za kuzima sauti ya live na kuingiza ya kwao.

Kuna ITV na vyombo vya online watarusha tu. Dawa imeingia pahala pake vizuri na kukolea
 
Mbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji .Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia Kama aonyeshe je anasikika live ? Yule mtu alitoa ishara ya Siri ya kuwa ndiyo .Akaona akiwakaribisha Lisu na Salum Mwalimu Live TBC itaingia matatizoni akawaambia ondokeni hatuwataki fungeni vyombo vyenu kwendeni zenu

Hilo tamko nimelikubali Mia kwa Mia Sababu TBC walikiuka sheria za utangazaji kipande Cha mwanzo Cha hotuba ya Mbowe


Mbowe alifanya vile Kama mzalendo namuombea CCM naomba tusiweke nguvu Sana Jimbo la Mbowe kumtoa ana uzalendo

Mafundi mitambo na wahariri wa TBC waliokuwepo Leo Mbagala wachukuliwe hatua na TBC haraka na Mbowe aachiwe Jimbo hata alishindwa naomba Raisi Magufuli mpe uteuzi ubunge wa viti vya kuteuliwa Yuko vizuri kulinda maslahi ya taifa na uzalendo.Amenigusa Sana jopo la TBC kikishindwa kuona Hadi Mbowe aone?
Mpaka sasa nashindwa kuamini kama wanaolilia uhuru wa habari wanauminya hata kabla hawajaelewa nini wanataka
 
Kama mmewafukuza TBC mtashindwaje kuwafuku hao ITV na wengine?
 
Hamna banaaaaa umekalia ukuni tuu huku umepakatwa na kupapaswa
Inaonekana unapenda huo ukuni naona unafurahia hadi jina la mwisho, nenda kwa mabwana zako wakakupasulie yai.
Screenshot_20200828-194328_1598633078706.jpg


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Leo chadema wamejizika maana hakuna aliyewaoana watu hata elfu moja hawakupata
 
Watu wawili hahahaha eti nyomi TBC wanawananga kijanja
IMG-20200828-WA0060.jpg
 
Kauli za kujifariji tu.. Ukweli ni kwamba TBC hawatakiwi kwenye mikutano ya CDM
 
Back
Top Bottom