Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Huyo akili zimeanza kurudi hata usimshangaeUmeandika nini hata hueleweki!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo akili zimeanza kurudi hata usimshangaeUmeandika nini hata hueleweki!!
Wapi weweee timu kusifia tu huna lolote na hiyo tbccm yenu [emoji706][emoji706]Demokrasia imetamalaq ccm!
Tulieni sindano ziwaingie!Wapi weweee timu kusifia tu huna lolote na hiyo tbccm yenu [emoji706][emoji706]
Nyau wewee sindano gani?Tulieni sindano ziwaingie!
Dah hii comment imenivunja mbavu!Duuh kumbe vibwengu hamjuani....mwenzako huyu mnapishana kolido za lumumba
Tbccm ni hovyooo kuliko jongoo. Nchi hii ni kituko awamu ya 5. Mwisho wao ni laana ya milele.Mbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji. Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia kama aonyeshe je anasikika live? Yule mtu alitoa ishara ya Siri ya kuwa ndiyo. Akaona akiwakaribisha Lissu na Salum Mwalimu Live TBC itaingia matatizoni akawaambia ondokeni hatuwataki fungeni vyombo vyenu kwendeni zenu.
Hilo tamko nimelikubali Mia kwa Mia kwa sababu TBC walikiuka sheria za utangazaji kipande Cha mwanzo Cha hotuba ya Mbowe.
Mbowe alifanya vile kama mzalendo namuombea CCM naomba tusiweke nguvu sana Jimbo la Mbowe kumtoa ana uzalendo.
Mafundi mitambo na wahariri wa TBC waliokuwepo Leo Mbagala wachukuliwe hatua na TBC haraka na Mbowe aachiwe Jimbo hata alishindwa naomba Raisi Magufuli mpe uteuzi ubunge wa viti vya kuteuliwa Yuko vizuri kulinda maslahi ya taifa na uzalendo. Amenigusa Sana jopo la TBC kikishindwa kuona Hadi Mbowe aone?
Wewe ndio katoto[emoji1]Mbona unaandika vitu vya kitoto?
Wacha bwana[emoji2][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Jimbo la Mbowe tunalichukua asubuhi. Tunataka awepo mtu anawasemea watu hao.
His ni sababu mojawapo ya serikali kukutaza bangi.Mimi CCM hata tukilichukua jimbo la Mbowe namuombea ubunge wa kuteuliwa Leo TBC wangerusha live kila kitu bila Mbowe mzalendo kufukuza TBC saa hii tingekuwa tunaongea mengine
Ina mana hamjuani?Hiki ulichoandika inaonyesha jinsi gani umechanganyikiwa!
Mbowe hahitaji fadhila ya CCM kuchaguliwa ubunge. Anahehitaji fadhila in John Cheyo, James Mbatia, Agostini Mrema n.k.Mbona unaandika vitu vya kitoto?