Uchaguzi 2020 Leo nimeamini Mbowe mzalendo, Wahariri TBC wachukuliwe hatua kutangaza kinyume na sheria za utangazaji

Uchaguzi 2020 Leo nimeamini Mbowe mzalendo, Wahariri TBC wachukuliwe hatua kutangaza kinyume na sheria za utangazaji

Mwaka wa ishirini mkisema hivyo.huijui hii moshi wewe.MOSHI NI CHUO CHA SIASA.KAMUULIZE DAVIS MOSHA UCHAGUZI ULIOPITA ALITUMIA ZAIDI YA BILLION 5 .Moshi ni chuo cha siasa mkuu.
Acha uongo, bil 5 unaijua au unaisikia
 
Naangalia TBC hapa na naona wametoa kipande cha Mbowe kuwapa dakika kumi na tano kuondoka lakini ikafuatiwa na TAMKO la TBC ambalo pamoja na maelezo yote wameeleza pia kuwa wao ni chombo cha umma.

Kwa miaka mitano TBC hawajwahi kuripoti kitu positive cha upinzani na naamini tukio la leo limewakamata "pants down".

Ni jukumu la TBC aidha kujisahihisha na kuwa kweli chombo cha umma au kuendelea kutumikia upande mmoja.Pia kuna kanuni za uchaguzi na sheria mbalimbali na ikiwa mtu atatukana au kueleza yasiyostahili sheria itachukua upande wake.

Ngoja tuone ya Dodoma kuwa patakuwa na editing na masimulizi kama ya kusimulia mchezaji wakati mechi inaendelea?

Tunatembea katika kamba nyembamba sana katika siku chache hizi.Busara,Busara na hekima vitumike.
 
Anzia hapa
Kweli Kuna Upinzani!!
Na Haya nimalipo ya Wasaliti shenzi kabisa
Screenshot_20200828-191250.jpg
 
Tumia akili usitumie mak*pa kufikiri,
Unaelewa kanuni za utangazaji za nchi hii na kanuni na taaratibu za NEC za urushaji matangazo ya moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi na mapitio yake ambayo huyo mbowe alitia saini pamoja na vyama vingine.

Elimu elimu elimu.

Nchi hii inaendeshwa kwa Sheria,kanuni na taratibu.

Kesho wafukuzeni na jeshi la polisi nya* nyie.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Imewauma sana?
 
Mbowe mtoto wa mjini, alijua Live ya TBC itaweka record mbaya kwa wanayokusudia kuongea. Anatangaza ati amesikia TBC wamezima matangazo ili wananchi wasisikie hotuba zao, hali sisi tunamsikia akisema hayo na kuwafukuza kupitia hiyo hiyo TBC, Tbc maripota wanaondoka hali wakizomewa tunaona live. Sasa jiulize TBC aliyoambiwa imezimwa ni ipi?
 
Tumia akili usitumie mak*pa kufikiri,
Unaelewa kanuni za utangazaji za nchi hii na kanuni na taaratibu za NEC za urushaji matangazo ya moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi na mapitio yake ambayo huyo mbowe alitia saini pamoja na vyama vingine.

Elimu elimu elimu.

Nchi hii inaendeshwa kwa Sheria,kanuni na taratibu.

Kesho wafukuzeni na jeshi la polisi nya* nyie.
Mkuu umeandika huku umekalia ukuni kitu kigumu chenye ncha butu laini
 
Anzia hapa
Kweli Kuna Upinzani!!
Na Haya nimalipo ya Wasaliti shenzi kabisaView attachment 1550997
Kumbukumbu kidogo,2015 nchi imeingia katika kampeni vyama vikiwa vimepata almost fursa sawa kujitangaza nchi nzima.2020 tunaingia katika kampeni chama kimoja kikiwa kimepata fursa miaka mitano wakati vyama vingine vikiwa kifungoni.Pia pitia sheria ngapi mpya zimeanzishwa katika kupunguza uhuru wa maoni.

Naamini siku zinavyokwenda na uoga unavyoanza kuwaondoka watu inawezekana usiamini utakachokiona.Muda ni mwalimu mzuri!
 
Mbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji .Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia Kama aonyeshe je anasikika live ? Yule mtu alitoa ishara ya Siri ya kuwa ndiyo .Akaona akiwakaribisha Lisu na Salum Mwalimu Live TBC itaingia matatizoni akawaambia ondokeni hatuwataki fungeni vyombo vyenu kwendeni zenu...
mimi naona Muheshimiwa MBOWE alidanganywa Kabla ya kumkaribisha mgombea Uraisi kuwa TBC haipo hewani; naye akawafukuza waondoke ndani ya dkk15; sisi tulikuwa tuna angalia live kwenye ukumbi wetu wa kuangalilia mpira;

ghafla TBC wakaomba msamaha kuwa wameambiwa waondoke. Ukweli hatukupata fursa ya kuona kilichoendelea. Tuache unafiki; wanachadema wengi wamekosa uhondo wa kumsikiliza mgombea Uraisi wao.
 
TBCccm ni kitengo kingine cha maccm kueneza ujinga Nchini. Ni wahuni tu hao.

Naangalia TBC hapa na naona wametoa kipande cha Mbowe kuwapa dakika kumi na tano kuondoka lakini ikafuatiwa na TAMKO la TBC ambalo pamoja na maelezo yote wameeleza pia kuwa wao ni chombo cha umma...
 
Naangalia TBC hapa na naona wametoa kipande cha Mbowe kuwapa dakika kumi na tano kuondoka lakini ikafuatiwa na TAMKO la TBC ambalo pamoja na maelezo yote wameeleza pia kuwa wao ni chombo cha umma...
Kesho Dodoma tv zote zitakuwa live kuanzia TV mpaka YouTube. Azam TV mpaka Millard ayo.
 
Back
Top Bottom