Leo nimeenda kwenye kikao cha wazazi darasa la Saba, hakuna mzazi hata moja kaja na gari. Kuna kitu nimejifunza

Mleta mada akili ndogo sana! Mwalimu wa Primary unataka apaki gari kwa Mshahara upi ?! Bei ya lita moja ya petrol ni tshs.2800/= hadi tshs.3,000/=. Bado service ya gari kila mwezi !
Ukitaka sifa zingine za kijinga eti una gari basi!!
Walimu wetu wengi wana maarifa ndo maana unakuta Mwalimu wa Primary amejenga nyumba yake na anaishi maisha decent lakini li graduate liko Bank limepanga nyumba na likifukuzwa kazi linachoka haraka kama teja!
 
Je mjukuu wako anatumia usafiri gani kwenda shule?
 
Kweli mkuu kuna mashule ya serikali yamejaa vyuma kwa nje mpaka raha[emoji119]
 
Je mjukuu wako anatumia usafiri gani kwenda shule?
 
Babu shule gani anasoma mjukuu wako? Elimu bila malipo au private
 
Hatupendi show off
 
Wewe Fata maisha yako
 
Yaani
Pitia Uzi naona umekurukupuka pole mwalim vumilia ndio kazi mimi nasema wazazi tulioenda ndio atukuwa na magari kama vile tunavyoonaga mashule mengine
 
Sema ukiwaza sana unaweza kuwa na makasiliko ukawa kila unayemuona unamchukia ukidhani kuwa maisha anayoishi yeye kuna asilimia ya maisha yako kachukua yeye .ukipishana na ile migari yao mikubwa.
 
Ungetwambia kwanza agenda ya kikao tingekusaidia kuconclude make kuna agenda za shelu za mchangani na matawi ya juu
 
Ungetwambia kwanza agenda ya kikao tingekusaidia kuconclude make kuna agenda za shelu za mchangani na matawi ya juu
Agenda ilikuwa Kambi ya watoto wa darasa la 7 tujipange tuandae ndio tuliitwa kujadili kama inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…