Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Utafika wakati Chadema itasimama kama chama imara na hapo ni pale chama hichi kitapoweza kusimama imara kwa uwezo kifedha.
Licha ya ruzuku chama pia hupaswa kuwa na uwezo wa kuwa na vyanzo vyake imara vya mapato ikiwemo michango wa wahisani na ada ya uanachama.
Hili la vyanzo vya mapato ni eneo jingine ambalo chama tawala lalitumia kujichotea fedha za umma ili zitumike kufanya mambo mengi kama takrima kununua mapikipiki na madubwasha mengine.
Mambo ni mengi ya kuishughulikia nchi hii ikiwemo Katiba mpya, mfumo wa Kleptokrasia , ruzuku kwa vyama vya siasa, matumizi mabaya ya kodi za wananchi na kila ina ya michezo ya ajabu.
Jambo la msingi kwa sasa ni kwa Chadema kuendelea kuwaelimisa wapiga kura namna ya kufikiri kwa umakini pale wanapokwenda kupiga kura kutoka kwenye kupiga kura kwa mazoea kuwa kupiga kura kwa umakini na malengo maalum huku wakiwa na ulinzi wa kutosha wa tume huru ya uchaguzi.
Licha ya ruzuku chama pia hupaswa kuwa na uwezo wa kuwa na vyanzo vyake imara vya mapato ikiwemo michango wa wahisani na ada ya uanachama.
Hili la vyanzo vya mapato ni eneo jingine ambalo chama tawala lalitumia kujichotea fedha za umma ili zitumike kufanya mambo mengi kama takrima kununua mapikipiki na madubwasha mengine.
Mambo ni mengi ya kuishughulikia nchi hii ikiwemo Katiba mpya, mfumo wa Kleptokrasia , ruzuku kwa vyama vya siasa, matumizi mabaya ya kodi za wananchi na kila ina ya michezo ya ajabu.
Jambo la msingi kwa sasa ni kwa Chadema kuendelea kuwaelimisa wapiga kura namna ya kufikiri kwa umakini pale wanapokwenda kupiga kura kutoka kwenye kupiga kura kwa mazoea kuwa kupiga kura kwa umakini na malengo maalum huku wakiwa na ulinzi wa kutosha wa tume huru ya uchaguzi.