Mkuu usimamizi wa dhati ndio upi labda?
Hivi kiuhalisia mpinzani akipata kura 50,000 na CCM akipata kura 10,000 halafu msimamizi akitangaza CCM imepata 50,000 na CDM 10,000 na mawakala wa CDM wakagoma kusaini fomu itabadilisha nini?
Masanduku ya kura wanatunza wao mahakama za kwao hata ukienda huko hamna kitu
Mkuu hizi suggestions zenu ni kwasababu hampo field kujionea umafya unaofanywa na ccm
Hapo sijazingumzia wagombea kenguliwa, kununuliwa, kutekwa, kuporwa fomu, fomu kuongezwa makosa na tume nk nk
Just imagine Mtu wa upinzani kakaa jela miezi 6 kafutiwa kesi na kuachiwa huru bila hakimu usiku wa saa 2 Singida na kesho yake Asubuhi yupo Bungeni anaapishwa ubunge wa Viti maalumu wa upinzani 😳
Yaani wapinzani wenyewe wanajishangaa😂