Kama ulimkuta bikra sawa. Ila kama sio unapomnyandua anakuchora tu kudadek ......Ila mke anauma jamani ukute jamaa limejipinda linamfokoa [emoji31][emoji31][emoji31]Lazima tu jambo hili lita kuasiri kisaikolojia.Wake zetu wajaribu kujistiri km hatosheki na ww bora awe muwazi tu kuliko akuumize moyo kwa kufanya ujinga huu bila woga.
Mke anauma haijalishi ulimkuta bikra au siyo bikra, vinginevyo iwe humpendi!!Kama ulimkuta bikra sawa. Ila kama sio unapomnyandua anakuchora tu kudadek ......
Una heri enenda na ukatende kama ulivyosemaBinafsi siombi nimfumanie mke wangu ,bali ikitokea nikamfumania mgoni wangu nitampa sharti moja tu,nitamwagiza mke wangu ampikie ugali wa kushiba kisha nitahitaji mgoni wangu ale wote akimaliza nitamuomba aondoke na nitamuamuru mke wangu amsindikize,hakika sitotoa adhabu yoyote ile kwa mke au mgoni wangu na sitohoji chochote juu ya tukio lililotokea
Nakubaliana nawe ila ni vizuri kuzuia hasira na kujiweka salama zaidi kuliko kuhamaki kisa limtu lisilojielewa.Mke anauma haijalishi ulimkuta bikra au siyo bikra, vinginevyo iwe humpendi!!
Hili nalo neno kwa upande wa kuzuia madhara zaidi. Je, Adhabu ya faini inatosha kulingana na uzito na uthamani wa kosa?Nakubaliana nawe ila ni vizuri kuzuia hasira na kujiweka salama zaidi kuliko kuhamaki kisa limtu lisilojielewa.
Utawaacha wangapi?Ndoa sio ya kuingia kichwa kichwa, kuoa kila Siku tunaambizana humu
Haya mambo ya kufumaniwa na kufumania ni vitu inatakiwa uvipime haswa kama utaviweza au hutoviweza ukipata jibu muafaka. Ndio ufanye maamuzi ya kuoa.
Wakati jamaa kamkata masikio mwenzake kwa kufumania ukute na mji kashaukimbia maana ni jinai ndio itamfuata, haya umefumania umemkata masikio mgoni, unakimbia mji na kumuacha mkeo akitanua na umalaya wake.
Ukiona mkeo hajatulia njia sahihi kabisa ni kumuacha aendelee na umalaya wake, tafuta aliyetulia.
Halafu wakware wakisha kusoma wanakugeuza mnyonge wao, hivyo inakuwa kila siku wewe ni wa kuanza upya tu.Utawaacha wangapi?
Si kweli kuwa wanawake wakicheat hawaachi. Wengine yalitutokea ingawa tulioa bikra, unajiuliza faida ya ndoa yako ni K au ni investment kwa huyo mwenza. Yaani watoto etc. Na kama akijutia mnaendelea kuishi wote ila kidonda huwa hakiponi hadi ufe. Ila lazima wote wawili waone kuwa umechukizwa na wawe wanakumbuka maumivu ya kitendo chao cha kucheat. Nawe unakuwa mwangalifu si kubwetekaHalafu wakware wakisha kusoma wanakugeuza mnyonge wao, hivyo inakuwa kila siku wewe ni wa kuanza upya tu.
Endapo itatokea nitatimiza hilo,japo siombi itokee hiyoUna heri enenda na ukatende kama ulivyosema
Kabisa nami sikuombei jaribu hilo.Endapo itatokea nitatimiza hilo,japo siombi itokee hiyo
Asante ,Kabisa nami sikuombei jaribu hilo.
Ndiyo maana kuna mdau nilimjibu kuwa kuacha mwanamke siyo sawa na kuacha takamwili chooni, kwa mujibu wa hoja yako ni kweli kuwa kuna wanaosamehewa na kuacha pamoja na kujutia lakini kuna wengine ukimsamehe yeye anahisi dawa zake (ushirikina) ndio zimefanya kazi, hivyo atakudharau na kuendelea, pia kuna mwingine atakwambia ameacha kumbe wamebadilisha mbinu na mazingira ya kukusaliti.Si kweli kuwa wanawake wakicheat hawaachi. Wengine yalitutokea ingawa tulioa bikra, unajiuliza faida ya ndoa yako ni K au ni investment kwa huyo mwenza. Yaani watoto etc. Na kama akijutia mnaendelea kuishi wote ila kidonda huwa hakiponi hadi ufe. Ila lazima wote wawili waone kuwa umechukizwa na wawe wanakumbuka maumivu ya kitendo chao cha kucheat. Nawe unakuwa mwangalifu si kubweteka
Ndiyo maana kuna mdau nilimjibu kuwa kuacha mwanamke siyo sawa na kuacha takamwili chooni, kwa mujibu wa hoja yako ni kweli kuwa kuna wanaosamehewa na kuacha pamoja na kujutia lakini kuna wengine ukimsamehe yeye anahisi dawa zake (ushirikina) ndio zimefanya kazi hivyo atakudharau na kuendelea pia kuna mwingine atakwambia ameacha kumbe wamebadilisha mbinu na mazingiraSi kweli kuwa wanawake wakicheat hawaachi. Wengine yalitutokea ingawa tulioa bikra, unajiuliza faida ya ndoa yako ni K au ni investment kwa huyo mwenza. Yaani watoto etc. Na kama akijutia mnaendelea kuishi wote ila kidonda huwa hakiponi hadi ufe. Ila lazima wote wawili waone kuwa umechukizwa na wawe wanakumbuka maumivu ya kitendo chao cha kucheat. Nawe unakuwa mwangalifu si kubweteka
..........Sijui kama mke wangu alikuwa demu wako, lakini hata kama alikuwa (wakati uliopita) sasa ni mke wangu wa ndoa hivyo nina haki ya kumlinda. Sasa basi hata wewe yawezekana mke uliyenaye (kama umeoa) alikuwa demu wa mtu, Je, ukiwafumania na kuwapeleka mahakamani adhabu ya faini utaridhika nayo?unajua mkeo alikua demu wangu
Utaua na kuadhibu wagoni wangapi kama mkeo hajatulia ?Utawaacha wangapi?
Ukimfumania mkeo, lazima watoto waende kwa Mkemia mkuu kwa DNA. Hilo halina mjadala. Hivi nikuulize, unaweza kumpeleka mgoni wako mahakamani au polisi? Jibu ni hapana ila unayamaliza mwenyewe. Lakini la maana ni kuhakikisha mwanaume hana marinda. Hapo heshima itakuwepoNdiyo maana kuna mdau nilimjibu kuwa kuacha mwanamke siyo sawa na kuacha takamwili chooni, kwa mujibu wa hoja yako ni kweli kuwa kuna wanaosamehewa na kuacha pamoja na kujutia lakini kuna wengine ukimsamehe yeye anahisi dawa zake (ushirikina) ndio zimefanya kazi, hivyo atakudharau na kuendelea, pia kuna mwingine atakwambia ameacha kumbe wamebadilisha mbinu na mazingira ya kukusaliti.
Kuhusu kuwekeza kwenye "K" au watoto ni jambo zuri lakini una uhakika gani kama hao watoto waliokuja kupitia hiyo "K" ni damu yako (wanaume inatudhuru sana) Unaweza kuhangaika na watoto wakishafika ngazi ya chuo Baba yao mzazi anajitokeza halafu hana mbele wala nyuma na mke anakuambia ukweli kuwa huyo ndiyo Baba yao mzazi (maana wakati huo hana cha kupoteza) na hatimaye unagundua kuwa ulifanywa mjinga kipindi kirefu cha maisha yako.
Kuhusu kusamehe ni jambo zuri lakini unaposema "umesamehe ila kidonda hakiponi" jua wazi kuwa hujasamehe na hivyo unajidanganya na kujiumiza mwenyewe maana Msamaha wa kweli unaambatana na kuachilia pia. Unaposamehe halafu ukashindwa kuachilia matokeo yake ni kufa kwa sonona (hivyo ndiyo mke mzinzi anapenda ili apate mali kiurahisi)
Sasa naomba unijibu. Kwa usumbufu na madhila yanayopatikana katika sakata la fumanizi je, adhabu ya faini inatosha?
Marinda tuUtaua na kuadhibu wagoni wangapi kama mkeo hajatulia ?
Ndoa wakuu sio za kuingia kichwa kichwa kuna ethics zakeHalafu wakware wakisha kusoma wanakugeuza mnyonge wao, hivyo inakuwa kila siku wewe ni wa kuanza upya tu.
How is your life worth it ? , Yaani nihangaike na mwanaume mwenzangu wakati wanawake wanatushinda?Marinda tu