Leo nimegundua kwanini watu wakifumaniana wanafanya ukatili

Leo nimegundua kwanini watu wakifumaniana wanafanya ukatili

Ukimfumania mkeo, lazima watoto waende kwa Mkemia mkuu kwa DNA. Hilo halina mjadala. Hivi nikuulize, unaweza kumpeleka mgoni wako mahakamani au polisi? Jibu ni hapana ila unayamaliza mwenyewe. Lakini la maana ni kuhakikisha mwanaume hana marinda. Hapo heshima itakuwepo

Mkuu iyo Ni case kubwa akienda kukushitaki Ni ulawiti uo.
Na je Kama wife alisema Yuko single?
 
Ukimfumania mkeo, lazima watoto waende kwa Mkemia mkuu kwa DNA. Hilo halina mjadala. Hivi nikuulize, unaweza kumpeleka mgoni wako mahakamani au polisi? Jibu ni hapana ila unayamaliza mwenyewe. Lakini la maana ni kuhakikisha mwanaume hana marinda. Hapo heshima itakuwepo
Route ya kwenda kupima Dna sio lazima hadi ufumanie, kwanza ni weakest link katika ethics za wanaume ,hadi unabambikiww mimba jua umeonekeana dhaifu
Kwa mwanaume timamu kabisa hawezi kubambikiwa mtoto , unajua hadi Siku uliyotia mimba ,
 
Mkuu iyo Ni case kubwa akienda kukushitaki Ni ulawiti uo.
Na je Kama wife alisema Yuko single?
Mkuu , nimemuuliza mdau humu thamani ya maisha yake Ipoje hajanipa jibu , shida ya Jf ni kuwa unaweza kuwa unafanya discussion na mtu amabaye hata hajaijua dunia vizuri .
Wanawake hawa Siku hizi akikuwambia ana mume una Bahati ,
 
Route ya kwenda kupima Dna sio lazima hadi ufumanie, kwanza ni weakest link katika ethics za wanaume ,hadi unabambikiww mimba jua umeonekeana dhaifu
Kwa mwanaume timamu kabisa hawezi kubambikiwa mtoto , unajua hadi Siku uliyotia mimba ,
Inaonesha wewe ni amateur tu. Sikiliza Amber lulu alivyosema kuwa mchana alisex na harmo na jioni akasex na majani. Kupima mtoto DNA ni haki pia ya mtoto kulingana na sheria ya mtoto ya mwaka 2009
 
IKARAHANSI isije ikawa chanzo cha kuitoa K ni wewe. Mfano humkojozi, hapo itabidi ufiche aibu yako. Hali ikiwa hivyo itabidi naye ajitae kwa jamaa
 
Inaonesha wewe ni amateur tu. Sikiliza Amber lulu alivyosema kuwa mchana alisex na harmo na jioni akasex na majani. Kupima mtoto DNA ni haki pia ya mtoto kulingana na sheria ya mtoto ya mwaka 2009
Mkuu bado nasisitiza ethics za ndoa , vijana mna miss some links .
Hivi amber lulu ni mwanamke unaeza kumweka kwenye list za wanawake wa kuoa ? Huyu naye utamkodia masela kwenda kufumania ? Hadi unajiweka kwenye mazingira akuzalie mtoto kosa linakuww la nani ?
Una hoja lakini mfano wako wa amber lulu kama ' mke ' haupo serious.
 
Mkuu bado nasisitiza ethics za ndoa , vijana mna miss some links .
Hivi amber lulu ni mwanamke unaeza kumweka kwenye list za wanawake wa kuoa ? Huyu naye utamkodia masela kwenda kufumania ? Hadi unajiweka kwenye mazingira akuzalie mtoto kosa linakuww la nani ?
Una hoja lakini mfano wako wa amber lulu kama ' mke ' haupo serious.
Tuusake usingizi kesho tuendelee. Amber lulu ulikuwa ni mfano tu kuwa mwanamke anaweza kukazwa na jamaa mchana nawe usiku ukaloweka. Akipata mimba utadhani ni yako wakati mbegu ya aliyeanza ndiyo ili fertilize . Usiamini mtu katika masuala haya
 
Comments nyingi zinaonyesha wanaume hua wanaumia sana wanapogongewa wake zao. Ajabu unakuta mwanaume huyuhuyu ana michepuko huko nje, anaona kawaida tu. Ila mkewe akigongwa nje nongwa.




Tanzania nchi yangu
 
Mie sintomfanya chochote mgoni wangu sema ntampiga tukio ambalo hatoamini maisha yake mixer kumla hata mama yake mzazi
Dah! Asante mkuu. Umenena. Visa vya mk. ..u humalizwa kwa mk... u.

Nilowahi mfuma jamaa anampiga sound mkewangu. Mkewangu anamjibu kuwa hapendi kusikia habari za mwanaume mwingine zaidi ya mumewe. Jamaa likamwambia mkewangu kuwa na yeye ni mwanaume kama mume wako.

Kwa bahati mbaya hakuna aliyejua kama ninawafuata kwa nyuma. Wife alijua nimesafiri na nisingerudi siku ile.
Walipomaliza mjadala wanaachana njia nikawasogelea. Jamaa alisituka sana. Nikamwambia tu kifupi kuwa nitaanza na mkeo, shemeji zako na kumalizia na mamako. Jamaa alipiga magoti eti mbona mkeo mwenyewe amekataa. Nikamwambia subiri matokeo.
Aliitisha kikao kwao na kuwasimlia nilichomwambia. Wakatume wazee wawili kuomba radhi.
Kwangu mimi hiyo ndiyo adhabu. Namgongea wote na kila nikigonga nampa taarifa immediately ajue.
 
Siku ukimkuta hii comment itakosa nafasi kwenye nafsi yako
Mkuu hakuna jipya hapo hata nikikuta weye
Wife sikumtkuta bikra maana naye alikuwa na affairs
Mie nina ex kadhaa wa kusoma nao na kuishi nao ni wake za watu lkn muda wowote nikiamua nakamua , infact naogopa magonjwa tu .sio mtu kama wewe . Kaam hili linawezekana kwa ma ex wangu kwa nini lisiwezekane kwa ma ex wake?.
"The biggest mistake in life is assuming that somebody won't make one "
 
Kweli ni hatari, sasa tunaomba ushauri wako kuhusu hiyo adhabu. (natumaini umesoma na kuelewa)
Mkuu huyu Jamaa hanaga sentensi Mbili kwenye comments zake... Ila Sasa nashangaa Zile tag hazipo Siku hizi... Unajua ilikuwa Ni Burudani Tosha kabisa
 
Masuala ya kufumaniana hayapaswi hata kushugulikiwa na mahakama. Tuipunguzie mahakama mizigo isiyo na kichwa wala miguu iweze kushughulika na mlundikano wa kesi nyingine za msingi ambazo zinwafanya watu wakae mahabusu muda mrefu kabla ya maamuzi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupokea pesa kutoka kwa jamaa aliekugongea mkeo Ni fedheha kubwa Sana hapa duniani.
Kuna mtu mtaani alilipwa pesa Kama faini ya kugongewa mkewe akanunua pikipiki. Hata mke ana kudharau zaidi kwamba wew kwenye pesa si lolote ipo siku utatoa rinda kisa pesa.


Kama unapoke pesa ya mgoni wako Kama faini Basi mruhusu tu mkeo aende uwanja wa fisi awe anakuletea hesabu asubuhi.
 
Back
Top Bottom