Ndio maana kuna mdau juu kasema watu wanaohangaika na mapenzi ni wale masikini. Kiuhalisia anachokiongea huyu jamaa ni kwamba yeye maisha yake yapo mikononi kwa mke wake. Kwamba akimfumania tu, huo ndio unakua mwisho wa maisha ya wote watatu (anaua mke na mgoni na yeye anaenda kufia/kuozea jela!)
Kwa mtu ambae una mipango ya maana,una watu wanaokutegemea, unaheshimika, una miradi ya kusimamia, una hela za kula maisha mjini hapa, unajua unaweza kupata mwanamke yoyote unaemtaka, huwezi kuwa na akili ya kipumbavu kama hiyo kamwe.
Mkuu ndoa ni kiapo cha kuishi kwa raha na shida, hakuna sehemu katika kiapo cha ndoa inasema kama mke hakojozwi aende nje ya ndoa au mume asiporidhika kwa mkewe aende nje ya ndoa bali ni tamaa tu za baadhi ya wanandoa. Kuhusu kukojozwa hiyo ni mada nyingine na inahitaji mashirikiano siyo swala la mmoja tu maana raha ya kweli inaanzia akilini.IKARAHANSI isije ikawa chanzo cha kuitoa K ni wewe. Mfano humkojozi, hapo itabidi ufiche aibu yako. Hali ikiwa hivyo itabidi naye ajitae kwa jamaa
Ndiyo maana kuna mdau nilimjibu kuwa kuacha mwanamke siyo sawa na kuacha takamwili chooni, kwa mujibu wa hoja yako ni kweli kuwa kuna wanaosamehewa na kuacha pamoja na kujutia lakini kuna wengine ukimsamehe yeye anahisi dawa zake (ushirikina) ndio zimefanya kazi, hivyo atakudharau na kuendelea, pia kuna mwingine atakwambia ameacha kumbe wamebadilisha mbinu na mazingira ya kukusaliti.
Kuhusu kuwekeza kwenye "K" au watoto ni jambo zuri lakini una uhakika gani kama hao watoto waliokuja kupitia hiyo "K" ni damu yako (wanaume inatudhuru sana) Unaweza kuhangaika na watoto wakishafika ngazi ya chuo Baba yao mzazi anajitokeza halafu hana mbele wala nyuma na mke anakuambia ukweli kuwa huyo ndiyo Baba yao mzazi (maana wakati huo hana cha kupoteza) na hatimaye unagundua kuwa ulifanywa mjinga kipindi kirefu cha maisha yako.
Kuhusu kusamehe ni jambo zuri lakini unaposema "umesamehe ila kidonda hakiponi" jua wazi kuwa hujasamehe na hivyo unajidanganya na kujiumiza mwenyewe maana Msamaha wa kweli unaambatana na kuachilia pia. Unaposamehe halafu ukashindwa kuachilia matokeo yake ni kufa kwa sonona (hivyo ndiyo mke mzinzi anapenda ili apate mali kiurahisi)
Sasa naomba unijibu. Kwa usumbufu na madhila yanayopatikana katika sakata la fumanizi je, adhabu ya faini inatosha?
Chief Mbwangali (Sijajua kama ni Mwanamke au msichana) Kila mmoja inamuuma kinamna yake ila leo tunazungumzia zaidi Mwanaume. Sisi Wanaume inatuuma zaidi kwa sababu mbali ya kugongewa wake zetu pia huwa tunasingiziwa watoto jambo ambalo linapelekea kulea watoto wasiokuwa damu yetu bila kujua, kwa Mwanamke kuna unafuu maana suala la kusingiziwa mtoto haliwezekani kwa kuwa mimba anabeba mwenyewe.Comments nyingi zinaonyesha wanaume hua wanaumia sana wanapogongewa wake zao. Ajabu unakuta mwanaume huyuhuyu ana michepuko huko nje, anaona kawaida tu. Ila mkewe akigongwa nje nongwa.
Tanzania nchi yangu
Ukubwa au udogo wa jambo lolote upo juu yako.. Ukiishi kwa kuangalia jamii itakuonaje maisha yatakuwa magumu sana. Kwani kupiga chini ukaendelea na maisha mengine itakugharimu nini???
Hahahah mkuu tufurahi tuu ndugu yangu kuna watu wanapumulia mashine hawana nafasi ya kucheka ww kama umepata hyo bahati unacheka kweli kweli hahahahahaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kalpana Umeua.....dah nimecheka sana
🤣 🤣 🤣 🤣Umeshapita kwenye uzi pendwa wa ndugu yangu rikiboy?
"Umeshawahi kula tunda kimasihara?"
Toa neno mkuu watu tupone [emoji23][emoji23]
Alikuelewa? unacheza na wanawake wewe,you will never know.Niliwahi mweleza mwenza .
Me sina solution tofauti na kuwamaliza wote wawili.
Nashukuru alinielewa vizuri.
Mimi sitaki maneno mengi nataka pesa tuu afu waendelee na maisha yaoBinafsi siombi nimfumanie mke wangu ,bali ikitokea nikamfumania mgoni wangu nitampa sharti moja tu,nitamwagiza mke wangu ampikie ugali wa kushiba kisha nitahitaji mgoni wangu ale wote akimaliza nitamuomba aondoke na nitamuamuru mke wangu amsindikize,hakika sitotoa adhabu yoyote ile kwa mke au mgoni wangu na sitohoji chochote juu ya tukio lililotokea
This is fair na ukitaka uweze hapa unatakiwa uandae akili yoko kwamba anytime yanaweza kukuta so that uje kuwa na stamina yakikufika.Kuna jamaa aliwahi kumfumania mke wake yuko na jamaa chumban kabsa wamevua nguo
Jamaa akampigia makofi yule mtu alie mgongea mke wake akampongeza alaf akawaacha bila kuwagusa
Yule dogo alihama mkoa akakimbia mbali sana na yule mke wa jamaa alikimbia akarudi kwao, had Leo hii akiambiwa arudi kwa mume wake hatak wala hatak hat kuonana na mume wake
Nawewe ujitahidi umche Mungu ili hayo mambo yasikukute,maana siku ukifumaniwa na ukakutana na sheria imebadilika imekuwa miaka 15 badala ya kulipa faini,hapo ndio utajua kuwa shetani hana maana...Habari za muda huu waheshimiwa
Jana nimeona video clip inayomuonyesha Mwanaume aliyekatwa masikio baada ya kufumaniwa akizini na mke wa mtu ikisambaa kupitia mitandao ya kijamii, video clip hiyo ilisindikizwa na maneno ya Wakili (nimemsahau jina) aliyekuwa akifafanua kuwa kosa la kumfumania mkeo au mumeo kisheria adhabu yake ni kulipa faini kwa aliyefumaniwa au kufungua shauri la talaka endapo mume/mke atajisikia kufanya hivyo.
Sasa nikajiuliza namna mke anavyouma (kwa jinsi mapenzi yalivyo) halafu nimemfumania na jamaa nikaamua kufuata sheria kwa kwenda mahakamani, sote tunaujukiritimba wa mahakamani ikiwemo kupigwa kalenda, kuacha kazi/shughuli ya kuniingizia kipato kwa ajili ya kuhudhuria shauri mahakamani (upotevu wa muda) kumbe hatimaye ni kulipwa faini (ikiwa atakutwa na hatia). Sasa nikajiuliza zaidi mgoni wangu akinilipa fidia si ni kama ametoa mahari?
Kwa maana nyingine ni kuwa mtu mwenye ukwasi anaweza kucheza na ndoa yako anavyotaka maana anajua ukimfumania fedha ya kulipa faini anayo hivyo atakuwa mke wenu na siyo mke wako hapo bado sijajua akizaa naye itakuwa vipi. Kwa hukumu ya namna hii ni bora kumuacha mke au kumtia ulemavu mgoni wako ili hata kama utakwenda jela umuache na kumbukumbu ya kusimulia wajukuu zake.
Binafsi nilidhani kuwa kosa la kufumaniwa na mke/mume wa mtu adhabu yake ni kifungo cha jela kuanzia miaka kumi na tano (15 Yrs) na kuendelea, maana ukikutwa na mwanafunzi ni miaka thelathini (30 Yrs) hivyo hii ilitakiwa kuwa nusu yake maana wahusika wanajitambua na wapo juu ya miaka 18.
Binafsi naona adhabu ya kulipa faini haitoshi au wakuu mnasemaje. karibuni kuchangia na povu ruksa mradi tuelimishane.
Kumcha MUNGU au kutomcha hakumfanyi mtu kuwa mzinzi wala mwema, Uzinzi unatokana na tabia ya mtu, kuna watu ni wacha MUNGU wazuri tena wengine ni viongozi wa din (mfano Mfalme Daudi) lakini wamezaa na wake za watu/waume za watu na pia kuna wapagani wana mambo meupe na yamenyooka kuliko hao wacha MUNGU. Umalaya unatokana na tabia ya kujiendekeza.Nawewe ujitahidi umche Mungu ili hayo mambo yasikukute,maana siku ukifumaniwa na ukakutana na sheria imebadilika imekuwa miaka 15 badala ya kulipa faini,hapo ndio utajua kuwa shetani hana maana...
Ahsante kwa mawazo yako, maana ni kweli kufumania siyo jambo la mchezo, sasa unashaurije kuhusu adhabu ya kulipa faini.Inatosha au iongezwe?Wakuu hili swala mnaliongea juu juu sana. Kufumania mke si jambo dogo kabisa athari yake ni kubwa kuliko inavyoongelewa hapa.
Fikiria unafumania mke unajifanya nunda unamuwekea mikakati na yeye anakuwa nunda zaidi wale wa "liwalo na liwe" anakutangazia mtaani kuwa wewe ni hanisi hapo ndio utajuuuuta kumfahamu.
Aise msifikiri hao wanawake nao hawana mipango yaku solve hiyo misala.
Utasema ukauze nyumba umkimbie na yeye anaenda kukushitaki wewe na uliyemuuzia nyumba ya familia bila ruhusa yake. Kesi unashindwa pesa za watu unarudisha, mtaani tunakucheka mkeo kakuzidi ujanja, alafu kumbuka hapo kashasema wewe ni hanisi au hata shoga kabisa huku analia anasema anajuta kuolewa na wewe
Mkeo mpaka anachepuka hua ameshakuzidi huo mpambano (kama ukitokea) kwaio pambana kweli kweli ukijua si jambo dogo.
Yeah - Hii ni adhabu safi kabisa, kulko hata kuua au kumpeleka Mahakamani, tena uhakikishe unamla kavukavu - ili ummiminie manihi vizuri kabisa, ili ayasikie.Marinda tu
Ahsante kwa mawazo yako, maana ni kweli kufumania siyo jambo la mchezo, sasa unashaurije kuhusu adhabu ya kulipa faini.Inatosha au iongezwe?