Leo nimejisikia vibaya sana wakuu!

CHAI
 
Sisemi vibaya ila Wanawake sio watu wa kawaida kbs, umesikia upande mmoja ila ungesikia upande wa pili huenda ungetoa laki umpe huyo mwanaume. Hawa viumbe Mungu ndio anajua alipowakosea ktk uumbaji wake ndio maana alisema tuishi nao kwa akili Mungu sio fara.
 
UMUGHAKA umepigwa. MTU atoke banana aje Sinza Palestina wakati Buguruni Kuna kituo Cha afya na Amana Ni gari moja toka Banana, hata angekwenda Temeke bado Ni gari moja na hakuna foleni.
Unakumbuka ule usemi kwamba MTU akizaliwa Dar tayari Ni fomfoo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣bwege mtozeni.
 
[/QUOTE]
Mkuu timiza wajibu wako achana na mambo ya kusikiliza upande wa pili!
 
UMUGHAKA umepigwa. MTU atoke banana aje Sinza Palestina wakati Buguruni Kuna kituo Cha afya na Amana Ni gari moja toka Banana, hata angekwenda Temeke bado Ni gari moja na hakuna foleni.
Unakumbuka ule usemi kwamba MTU akizaliwa Dar tayari Ni fomfoo?


Mkuu umeandika ili kumckesha na kumfurahisha Shoga Hance Mtanashati au umeandika ukiwa na akili zako timamu?
 
Hapo umesikiliza ya upande mmoja ukatoa 50k, je unayafahamu ya upande wa pili wa mwanaume...jitahidi ujue kabla ya kutoa hukumu!
Yeye amesikiliza upande mmoja na ndio upande aliokutana nao,ulitaka aanze kuutafuta na upande wa pili? Kwani yeye ni Mahakama na anataka kutoa hukumu?

Huo upande wa pili kausikilize wewe,yeye ametoa msaada na Mungu ameona that's more tha enough.
 
Vizuri kama umejiridhisha ..tatizo MATAPELI wengi sana hilo eneo ambao wanaharibu sifa ya watu wenye uhitaji kweli...miaka ya nyuma kama 10 imepita nilikuwa hilo eneo la Palestina lilijaa matapeli sana...yaani mama anakuja na vyeti kabisa na analia anahitaji msaada...ukisema twende nkakunulie dawa etc wanakimbia hawataki...
 
Kumbe kupigana ni kapepo tu kanakupitiaga ila una moyo mzuri sana hongera mkuu
 
Yeye amesikiliza upande mmoja na ndio upande aliokutana nao,ulitaka aanze kuutafuta na upande wa pili? Kwani yeye ni Mahakama na anataka kutoa hukumu?

Huo upande wa pili kausikilize wewe,yeye ametoa msaada na Mungu ameona that's more tha enough.

Safi sana,

Mkuu wewe una akili kubwa sana,Hongera sana mkuu!
 
Japo we jamaa me siku kubari wala nini...

Ila kumekuwa na tabia hawa wadada ikifika jioni wana tembea na watoto kuomba nauli hii nme iona pale mawasiliano stand.

ile njia jion wadada wana pishana na watoto wana omba nauli uki pita tu ana jifanya ana enda stand ,afu ana rudi kutafuta mwingine ni upumbavu wa hali ya juu
 


Huyu nimejiridhisha mkuu na dawa amendikiwa ila hakuwa na hela,mimi nimewahi kuwa tapeli na Jambazi,hivyo naelewa mtu akiwa tapeli,huyu mama alikuwa na uhitaji maana karibia pesa yote aliyokuwa nayo imeishia kwenye matibabu ya mwanaye!,Halafu mwanaye ni alichubuka usawa wa jicho hivyo alikuwa na Jeraha!

Kuna muda alitaka nisipompa hela nimsaidie kumnunulia mwanaye dawa alizoandikiwa,Aiseee kuna matapeli lakini yule Sister anapitia magumu mno!.


Yaani sielewi hata kesho na kuendelea atakula nini,kibaya zaidi sikuchukua namba yake!

Pesa niliyokuwa nimepanga nifanyie mambo yangu nimeona nimpatie yeye,kwani hata hivyo mkuu huwa tunapoteza kiasi gani kwenye mambo ya ajabu?,Huwezi amini baada ya kumsaidia nina amani kuliko kawaida!
 
Kwani mwanaume kosa lake nini unajua ugomvi wao mpk uje kutuchanganya na wao elimu kubwa kufikiri kidogo duh!
 
Kumbe kupigana ni kapepo tu kanakupitiaga ila una moyo mzuri sana hongera mkuu

Mkuu kupigana huwa ni kwasababu nachokozwa na malaya hawa wa mjini wasio kuwa na kazi ya kufanya,but kiuhalisia mimi ni mtu poa sana !
 
Kwani mwanaume kosa lake nini unajua ugomvi wao mpk uje kutuchanganya na wao elimu kubwa kufikiri kidogo duh!

Elimu kubwa vipi mkuu,timiza wajibu wako achana na mambo ya ugomvi,ina maana ukigombana na Kiswanswadu wako mwanao apate shida kwasababu ya ujinga wenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…