Japo we jamaa me siku kubari wala nini...
Ila kumekuwa na tabia hawa wadada ikifika jioni wana tembea na watoto kuomba nauli hii nme iona pale mawasiliano stand.
ile njia jion wadada wana pishana na watoto wana omba nauli uki pita tu ana jifanya ana enda stand ,afu ana rudi kutafuta mwingine ni upumbavu wa hali ya juu
Yeye amesikiliza upande mmoja na ndio upande aliokutana nao,ulitaka aanze kuutafuta na upande wa pili? Kwani yeye ni Mahakama na anataka kutoa hukumu?
Huo upande wa pili kausikilize wewe,yeye ametoa msaada na Mungu ameona that's more tha enough.
Oya bishoo Haswaaa huyu jamaa ni nan mbona kama anataka akuoshee wakati hata hatumjuikwani bluetick ni kitu cha kuringia...? huo umaarufu kwani jf inalipa watu...? uwe na bluetick uwe hauna nikiona we ni expert member tupo sawa tu amna lolote acha kutafuta attention kiboya
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!,Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba,kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!.Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada,Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu,hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!,nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani,tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo,tatizo linakuwa kwenu,hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!,huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake,hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao!,Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake,unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike!,Tuache Upuuzi!
UMUGHAKA usikurupuke na kuanza matusi. Twende taratibu. Watu wa Dar hususan wa uswazi akitaka kwenda popote kwanza anafikiria nauli au Ni magari mangapi, tofauti na ninyi mliokulia huko usweken.Mkuu umeandika ili kumckesha na kumfurahisha Shoga Hance Mtanashati au umeandika ukiwa na akili zako timamu?
Ulimuomba namba yake ya simu?Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!,Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba,kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!.Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada,Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu,hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!,nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani,tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo,tatizo linakuwa kwenu,hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!,huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake,hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao!,Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake,unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike!,Tuache Upuuzi!
Ndio matoto yaliyotelekezwa hayo mkuu Umughaka jitu linakosa busara Kila kitu kupinga tuUshindwe kumlaumu Januari Makamba kwa kukosa Credibility uje unilaumu mimi mlala hoi na masikini?,Uko timamu kweli kichwani?
Umepigwa mzee...kubali tu..Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Siku ya leo kwangu imekuwa siku mbaya sana kwasababu mimi huwa nina huruma sana na huwa naguswa na matatizo ya watu wengine wanayopitia!.
Leo nilikuwa nimeenda Hospitali moja pale Sinza,nilimpelekea Dada mmoja hivyo ikabidi nipaki nje kumsubiri!,Sasa wakati nikiwa pale nje kuna dada mmoja alitoka ndani ya hospitali mwanaye akiwa analia kweli!
Alipofika kwangu akawa ameniomba nimsaidie nauli ya kumfikisha kwake,ikabidi nimuulize maswali kadhaa,baada ya kujiridhisha kutokana na majibu yake kiukweli niliumia sana!.
Yeye " Kaka mambo"
Mimi " Poa,Kwema"
Yeye "Samahani kaka,naomba unisaidie!"
Mimi " Nikusaidie nini Sister?"
Yeye " Kaka pesa yote niliyokuwa nayo nimefanya vipimo vya mwanangu na nyingine nimechukulia dawa!"
Aliendelea " Naomba tu unisaidie nauli ya kunifikisha nyumbani kaka"
Mimi "Pole sana,Unaishi wapi?"
Yeye " Nakaa Banana"
Mimi "Umemtaarifu Mumeo kwamba umeishiwa nauli?"
Yeye "Wee acha tu kaka,ni kama huyu mtoto hana Baba"
Mimi "Kwanini?,Baba yake yuko wapi?:
Yeye " Baba yake alimkataa mwanaye!"
Mimi "Usione kama nakuuliza maswali dada,nisamehe kama nitakuudhi lakini nataka kujiridhisha maana matapeli huu mji ni wengi mno!"
Yeye "Mimi si tapeli kaka naomba unisaidie tu nauli"
Mimi "Hapana sister,sijasema wewe ni tapeli,nilikuwa nakuelewesha tu!:
Yeye "Basi ngoja nkutolee kadi la kriniki uone"
Kweli,alinitolea kadi la kriniki pamoja na dawa ambazo aliandikiwa akanunue kwa ajili ya mwanaye!
Sikutaka kumchimba sana maana pengine niliona isingekuwa vema kumpeleleza,mimi niliamua tu kujiongeza!
Sasa ni kwamba,kwa maelezo yake ni kuwa jamaa aliyempa mimba alimkimbia akiwa mjamzito na jamaa anafanya kazi Tanesco Mkoa wa Kitanseco wa Ilala!.
Kiukweli mwanamke ni mzuri na amezaa mtoto wa kike mzuri sana kama mama yake!.Nilijaribu kumuuliza sababu za yeye kuachana na huyo mshikaji akadai ni wivu wa kimapenzi!.
Leo nimenikuta natoa Tsh 50,000/= namsaidia yule dada,Kiukweli sijawahi kutoa kiasi hicho cha pesa kusaidia kutokana na nature ya kazi yangu (Hayo mambo niliyafanya zamani nilipokuwa Don kabla sijarudi kuanza moja).
Kiukweli baada ya kumpa hiyo hela huyo Dada nimejihisi amani sana na nimekuwa na furaha ya moyo ingawa nimehuzunika sana!
USHAURI:
Wanaume wenzangu,hata kama utakuwa umekosana na mwanamke ambaye amekubebea mimba yako kiasi gani, tafadhali usimtelekeze,kiukweli huwa wanapitia mateso makubwa mnooo!,nawaomba sana msije mkafanya hivyo!.
Hata kama huyo mwanamke awe ameekuudhi kiasi gani,tafadhali jifanye mjinga tu ili umnusuru mtoto kwasababu dogo anakuwa hana tatizo,tatizo linakuwa kwenu,hivyo mtoto mpeni haki yake ya matunzo na malezi!.
Mwanamke hata akiwa amekosea kiasi gani lakini machozi na maumivu yake ni laaana tosha!,huwezi kutoboa kamwe kama akiwa anamuangalia mwanaye anateseka na wakati Baba yake yupo kazi kulewa tu na kubadili wanawake,hakika huto toboa!.
Hebu wanaume wenzangu tubadilike ndugu zangu,kiukweli inaumiza sana kukutana na mwanamke anaomba nauli wakati Baba yake yupo!
Chanzo cha watoto wetu kuaribika tatizo huanzia pia kwa Wanaume wanaowatelekeza wanawake wao!,Tusiishie kuwalaumu Marekani na Nchi zilizoendelea kwa kutuleta Ushoga bila kubadilika sisi wenyewe na kutatua matatizo yetu!.
Wewe unamuacha mwanao wa kiume analelewa na mama yake,unategemea nini?!.
Hebu naomba tubadilike!,Tuache Upuuzi!
Anatafuta umaarufu wa Kijinga dogo. Watu wanamchoka. Analeta stories za facebook humu JF. Sisi wapemba tunasema "ukipasua dafu haliwezi rudi kuwa kama zamani hata iweje"We jamaa Kila siku unapoteza credibility sijui kwanini
Dogo anatafuta sana attention. Sisi wapemba tunamtizama tu... Na kusema hewallah , tende na halua .... Ndo basi tena huyu dogo. Hakuwa hivi huko nyuma. Sasa anaandika mambo ya kufikirika mengi.Mleta uzi unachokiandika hapa ni kweli au unatafuta attention za watu tu ? Maana Mimi ni msomaji sana wa Simulizi zako na nimegundua wewe unaweza ukamtelekeza mwanamke bila huruma. Usiniulize Kwanini we jitafakari ni mara ngapi ulishahadaika ukaingia kwenye mtego wa Mwanamke na ukataka kumsaliti Mkeo ambaye ni Mwalimu huko Morogoro? Wilaya nimesahau.
IPPYani ninunue kitu alafu nisidai Chenji? Unayemuonea huruma anaingiza hela kuliko wew msamaria mwema ...alafu tz Lia Lia wengi sana unajikuta baba huruma mwishowe wenzako wanashusha mijengo wew unabaki kutoa macho
Mimi mpaka huwa nahisi kuna mtu ame hack account yake.We jamaa Kila siku unapoteza credibility sijui kwanini
Wanawake wanamengi usipend kuwamin maneno yao kam umemsaidia nauli its oky .
Kwa cc wanaume atleast tuna make concrete reason and decision
Kwann tuwe kila siku tunawaonea huruma hawa dada zetu wakt wao wanakuw chanzo cha matatzo kwa 85%
Nazn sasa wanaume ni wakat wa cc kuonean huruma pia japo cc n providers ila tupunguze kuona kuw kila mwanAmke Alieachwa na mwanae chanzo nn cc