Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

Najua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.

Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
Wewe suala la mama yako kufa kesho mwachie Mungu,kwanini umuue mama yako kwasababu zako binafsi huku mtandaoni,si ujitangulize wewe kwanza kwa maneno yako....ndgu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Huyo wamemficha kichawi haonekani. Usoni mwake wame mwekea uvuli kiasi kwamba wanaume hawavutiwi nae.

-Kama ungeweza kumshauri, ungemwambia aingie kwenye maombi.
 
Kutongozwa anaweza kuwa hajawahi kutongozwa, hila kupelekewa moto kimasihara ni kwa saaana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…