Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

Huyo alikuwa anampanga mganga ili asikosee kwenye kumpa dawa konki ya kutongozwa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyo atakuwa na shida kubwa, hasa kwenye issues za mazingara. Hizi nchi masikini zina shida sana, kuna watu wanakuona hawataki ufurahie maisha wao waking unaumia ndio furaha yao.

Ndoo maana binafsi mtu akiwa na elements za ushirikina simpi nafasi kwenye maisha yangu, labda salam tu.
 
mkuu unautalamu wa

Marketing unejificha ndani yako hujui tuh​

 
Miami kumi ni mingi sana kukaa bila kutongozwa , inawezekana ilikuwa ni gia tuu
 
😂😂😂 Naogopa mnatoa 30k nyie
Kwani wewe price tag yako ni kiasi gani?🤣 Kule selfika juzi walisema wewe ni kisu na nusu, kama ni hivyo sikuwezi...sitaki stress mie🤣
 
Tangazo limekaa kijanja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…