Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

Nawewe kweli ukaamini ni miaka kumi.

Ukisikia mtu anasema 'juzi tu hapa huyu binti alikuwa ananyonya leo amemaliza la saba', unadhani hiyo juzi tu ni siku tatu zilizopita?
 
Uthibitisho usio tia shaka tafadhali!
 
Tupia picha tuone kama anafaa kwa kitafunwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
We baba ni muongo, halafu mbona kama umekuja na suluhisho moja kwa moja au ndo Bango nini maana siku hizi biashara matangazo
 


Mnauwawaga kwa huu ujinga wakuamini wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…