Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Hongera sana kwa hatua hii Mungu akukuze siku hadi siku
 
Ila ujue hizi imani ni za kizungu. Mababu zetu hawakumjua Yesu wala mambo ya kuokoka.
 
Hawa watu sio kabisa tena ni kijana na wokovu!!!, mmmhh!


Hapo najua pisi zote mtaani kamaliza ameenda na kanisani kuwatafuta wapya tena aendeleze kuchakata tu mbususu.

Hawa vijana hawa, wana mbingu yao kabisa.
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Waman yab'taghi ghairal islaami diina, falan yuq'bala minhu ,wa hua fil Aakhirati minal Khaasiriin
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Ni uamuzi wa juu kabisa,na uliobora kwa mwanadamu yeyote aliyoko chini ya jua.
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
ubarikiwe sana
 
Tupe mistari ya wimbo:

Utanitambuaje kama Nimeokoka
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Ni safar ndefu sana usikate Tamaa.........
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Glory to God...
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.
Hongera kwa kuokoka,umefanya uamuziwa busara
Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Hongera kwa kuokoka,umefanya uamuzi wa busara.
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Hakuna kitu kama hicho, maisha yako utaendelea kubaki nayo mwenyewe na utaendelea kufanya mema na mabaya, na utahesabiwa kwa matendo yako siku ya hukumu.
 
Back
Top Bottom