Kumpokea Yesu ni kitu kimoja, kutembea kwenye njia yake ndio kitu Cha muhimu zaidi baada ya kumpokea, otherwise utakuja anzisha Uzi mwingine hapa useme wokovu kumbe ni ubabaishaji hauna kitu, soma biblia Kila siku at least sura Moja, na pata muda wa kuomba hata 30 minutes everyday.
otherwise that is by far the best decision of your life
otherwise that is by far the best decision of your life