Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Malaika mbinguni wanashangilia hongera sana
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Umesha angamia
 
AMEN Mungu akujaalie maisha marefu afya njema ndani ya wokovu... Jitahidi kuhudhuria ibada angalau 2 za katikati ya wiki na ile ya jumapil bilakukosa... Jitahid kusali kilasiku bilakukosa asubuh unapo amka, mchana popote pale utakapokuwepo angalau kwa dk 1 na usiku unapokaribia kulala... Jitahid sana kusoma Biblia kilasiku bilakukosa... Epuka kukaa na watu wanaokubeza na kukukatisha tamaa, sikiliza vipindi vya dini.... Mungu asikupungukie uishi ktk yeye... Hakika utaona baraka za Mungu ktk maisha yako... HONGERA
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Karibu sana
 
AMEN Mungu akujaalie maisha marefu afya njema ndani ya wokovu... Jitahidi kuhudhuria ibada angalau 2 za katikati ya wiki na ile ya jumapil bilakukosa... Jitahid kusali kilasiku bilakukosa asubuh unapo amka, mchana popote pale utakapokuwepo angalau kwa dk 1 na usiku unapokaribia kulala... Jitahid sana kusoma Biblia kilasiku bilakukosa... Epuka kukaa na watu wanaokubeza na kukukatisha tamaa, sikiliza vipindi vya dini.... Mungu asikupungukie uishi ktk yeye... Hakika utaona baraka za Mungu ktk maisha yako... HONGERA
Amen,ujumbe mzuri
 
Sasa umeingia vitani rasmi,Maisha ya wokovu ni vita yakupasa usimame thabiti
Ibilisi hatoacha kukuwinda ili akurudishe ulipotoka usiogope hilo
 
Back
Top Bottom