Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

Ndugu zangu, naomba niwakumbushe kwamba Yanga imeingia nusu fainali

Mjadala uendelee
 
Maisha umemkabidhi
Ila madeni yako utapambana nayo mwenyewe
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Umefanya uamuzi sahihi Sana Bwana Yesu akulinde
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Uamuzi bora sana, Mungu akusimamie
 
Mungu akubariki sana na akutunze katika maisha ya safi na utakatifu!
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Umechagua fungi jema,wewe uwe mwaminifu na mtulivu katika Kristo naye atakutunza salama, hatakuacha daima.
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Mkuu hongera sana sana.

Sasa jitahidi kudumu kwenye mafundisho ya kuukulia wokovu na hakika Yesu hatokuacha
 
Ukiona mtu anaamini kwamba wokovu wa roho yake ni sharti kuwa mlokole Basi ujue ana shida kwenye akili yake

Ndio hao mwisho wa siku wanaangukia kunywa mafuta ya upako na kutoa sadaka za kujiteketeza!


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Habarini ndugu zangu,

Leo bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeenda kuombewa Sala Ya Toba kanisani Tabata Segerea.

Baada ya kuhangaika na maisha ya Ujana nikaona ni vyema kumpokea Bwana Yesu na kumtumikia kabla hazijaja siku zilizo mbaya.

Ndugu zangu walokole naombeni mniombee safari yangu ya wokovu isiishie njiani.

Mbarikiwe Sana
Ikiwa hii ni azma yako MUNGU atakusaidia.....hata ukiteleza atakurudisha kwenye reli

Maisha ndani ya wokovu ni magumu Maisha njee ya wokovu ni magumu pia ndio maana umeamua kuokoka.

Muhimu ni kwamba unaye kristo utaporomoka na kunyanyuka naye! Utacheka na kulia naye
 
Back
Top Bottom