Leo nimepika Ndizi nyama msela mimi ni tamu mnoo

Leo nimepika Ndizi nyama msela mimi ni tamu mnoo

Umenichekesha wakati uzi umenipa majonzi
Mkuu,raha sana kuwa na mwanaume anayejua kupika sana....nakumbuka nilikuwa naenda kwake niko zangu naangalia movie yeye ananipikia chakula kitamuuu 😭😭

Au labda kwasababu mimi sijuagi kupika
😃😃😃Si ulisema chapati Ndo changamoto...

Asee kama ni hivyo ngoja nijitaid kupata short course ya mapishi veta si wanatoa😃😃
 
Ilikua GG hiyo (both Team to score) unakula kisha baadae unaliwa

Kwa vyakula vyake vile vitamu namna ile nilikuwa nampa yote
Nikishakula na yeye anakula sio chini ya goli nne 😭😭😭
 
Umenichekesha wakati uzi umenipa majonzi
Mkuu,raha sana kuwa na mwanaume anayejua kupika sana....nakumbuka nilikuwa naenda kwake niko zangu naangalia movie yeye ananipikia chakula kitamuuu 😭😭

Au labda kwasababu mimi sijuagi kupika
Hapana, wanawake tunavutiwa na wanaume wanaojua kupika. Kuna raha isiyoelezeka kupikiwa na mwanaume wako, binafsi napenda na niko tayari kumfundisha ajue hata vyakula vichache tu.

Lakini sio kupika kila siku, hata mara 3 kwa mwaka inatosha kabisa.

Sasa usiombe ajue na kuchoma choma minyama & kuku! Acha bwana!
 
😃😃😃Si ulisema chapati Ndo changamoto...

Asee kama ni hivyo ngoja nijitaid kupata short course ya mapishi veta si wanatoa😃😃

Chapati ni moja ya vingi nisivyojua
Kiufupi upishi is not my thing....kuna wakati nilileta humu uzi kuhusu mtu kutojua kupika

Sijiwekagi kwenye watu wanaojua kupika
 
Hapana, wanawake tunavutiwa na wanaume wanaojua kupika. Kuna raha isiyoelezeka kupikiwa na mwanaume wako, binafsi napenda na niko tayari kumfundisha ajue hata vyakula vichache tu.

Lakini sio kupika kila siku, hata mara 3 kwa mwaka inatosha kabisa.

Sasa usiombe ajue na kuchoma choma minyama & kuku! Acha bwana!

Ni kweli Nifah
Ni raha mno, yule aliyekuwa wangu alikuwa kashajua navyopenda akinipikia....nilikuwa naenda kwake karibia kila siku
Mimi akinipikia kila siku ni furaha isiyoelezeka
 
Ni kweli Nifah
Ni raha mno, yule aliyekuwa wangu alikuwa kashajua navyopenda akinipikia....nilikuwa naenda kwake karibia kila siku
Mimi akinipikia kila siku ni furaha isiyoelezeka
Mimi wa kwangu nilimuuliza alisema anajua kupika maharage tu sijui na nini! Nilinyoosha mikono juu 😅😅🙌🏾

Ila nini, mimi hodari na napenda kupika wala sio issue kihivyo.
 
machalari ya pwani jau kinoma

niliwahi kula nikapata kichefu chefu

ila mimi mshamba tu sijaizoea nazi
Ukila na nazi unachefukwa hatari

Mimi niko na machalari bila nazi. Utumbo na nyama supu ya kutosha, ndizi iwe ngumu sio rojo

Kesho nawahi buchani nikitamka ndizi njaa inauma hatari

Huku uswahilinj utumbo elfu 5 yani waswahili wanajisifu wanakula nyama kwa kukimbilia utumbo buchani utumbo ukichelewa hukuti

Hapo nanunua mbavu, mixer utumbo natoa machalari au memba
 
Chapati ni moja ya vingi nisivyojua
Kiufupi upishi is not my thing....kuna wakati nilileta humu uzi kuhusu mtu kutojua kupika

Sijiwekagi kwenye watu wanaojua kupika
Jaribu ukae na mtu anayejua kupika ujifunze binafsi wakati nafika chuo nilikuwa najua kusonga ugali tuu

Nilikutana na. Jamaa mmoja anapika balaa alijfunza akiwa anamsaidia Mama yake Kuuza mgahawa akawa ananifundisha mdogo mdogo mpaka nimemaliza chuo leo hii si haba naweza waambia home niachien jiko nyie nenden sebulen mkatulie...
 
Umejitahidi ila tu
1. Ndizi nyama haziwekwi viungo zaidi ya karoti, kitunguu, pilipili (kwa wanaopendelea) hoho na nyanya kidogo sana (ni vyema zaidi kuacha kuweka nyanya)

2. Maji ya kwanza kupikia ndizi yanawekwa kidogo, hayatakiwi kuonekana juu ya ndizi.

Kuhusu nazi tayari umeshauriwa huko juu kwa usahihi, otherwise ulipata nyama nzuri sana ndio maana ndizi zimekuwa nzuri.

Ushauri huu wa mapishi ya ndizi ni kutokea kwa wenye ndizi nyama zetu, uchagani.
Nakazia hapa📌📌📌📌📌📌📌..
Ndizi zinataka vitunguu vya kutosha,hoho,Karoti na nyama ya kutosha tu...iwe nzuri...makorokoro mengine hayana maana yoyote..
 
Back
Top Bottom