Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Napinga njegere unataka atuchafulie hali ya hewa!..π€£Aaliyyah njoo mwaya chef wangu..!!
Mtoa mada, wakati mwingine jaribu kutia njegere ama mchicha, uta enjoy zaidi..!!
Hongera kwa chakula kizuri, wenzio hawajui hata kuchemsha maji ya kuoga huko duniani..!π
Cha uvivu πPika wali nunua maharage ya buku na soda! Mambo yasiwe mengi
mimi nitawafundisha kupika uji wenye mabujabuja!, ni mtaalamu sanaMimi ntawaletea jinsi ya kuchemsha mayai ya kuku na bata mzinga.
Mwambie arudi mkaanze upya kupika chapat dadaπMkuu,umenikumbusha ex wangu mmoja hivi πππ
Alikuwa anajua kupika mnoo,kupitia huu uzi nimejua bado nampenda sana...nimemmiss π₯
Hebu nipe maneno mazuri ya kumueleza mume πππMwambie arudi mkaanze upya kupika chapat dadaπ
Mafuta yale ni sumu. We ngoja tu huko mbele ya safari. Yaani unaweza kuweka cho chote kwenye chupa ya plastic; na ukauza kama mafuta ya kupikia. Na hakuna anayejali.Ni kweli nishakula mgahawani km mara mbili mjini nilitapika balaa nikajaribu kuulizia nikaambiwa huenda ni mchanganyo wa mafuta ya kupikia
Kabla sijakupa maneno andaa machela ya kukubebea πHebu nipe maneno mazuri ya kumueleza mume πππ
Yani namwambia mume wangu,nimemmiss ex nahisi kama bado nampenda kwa hiyo niruhusu nirudi kwake π€£
Aisee bas hatar ni kubwa mno kama ni hivo na wenzetu wanavyochanganya mafuta yalokaangiwa maandazi yanapikiwa katles mara sambusa yakibaki yanakaangiwa samaki ndo yanazid kuwa mabayaMafuta yale ni sumu. We ngoja tu huko mbele ya safari. Yaani unaweza kuweka cho chote kwenye chupa ya plastic; na ukauza kama mafuta ya kupikia. Na hakuna anayejali.
Kuna mripuko wa kansa ya utumbo hasa kwa vijana under 30 na tafiti zimeanza kuonyesha kuwa pengine kisababishi kikuu ni mafuta ya kupikia hasa haya yanayotokana na mbegu za mimea kama mahindi (corn oil), pamba, canola, zabibu, alizeti n.k.
Mafuta ya kupikia yanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu sana hasa haya tunayotumia huku mitaani vinginevyo mh!...
View attachment 3193320
Utanikuta ICU πKabla sijakupa maneno andaa machela ya kukubebea π
Kwakweli Hilo balaa lake itakuwa sio dogo πUtanikuta ICU π
There's no problem sirKwan kuna shida gani hapo!
Mara moja tu kakaUtakuja kudhalilika usinywe cocktail za ajabu ajabu
kama mimi nilichemsha yai nikaunguzaAaliyyah njoo mwaya chef wangu..!!
Mtoa mada, wakati mwingine jaribu kutia njegere ama mchicha, uta enjoy zaidi..!!
Hongera kwa chakula kizuri, wenzio hawajui hata kuchemsha maji ya kuoga huko duniani..!π
jama anapigapiga kabisa tui halina pumba wala halijakatika aisee kama la bakhresaasilimia 80 ya chakula ninachokula huwa napika mwenyewe,....kasoro supu ya kongoro tu huwa nafuata mgahawani,...ila kwenye kukuna nazi nimekunyoshea mikonoπππ§π₯π₯π₯²ππ€π€π€βπ€
huyu kiboko, si ajabu hata mchele huwa anapepeta kabisa,...π€π€jama anapigapiga kabisa tui halina pumba wala halijakatika aisee
kupika ni kipaji mkuu nakumbuka kipindi niko chuo kuna mshikaji alikua akirusha geto aisee ni nomaa jamaa alikua hadi mchele anaukaanga unatoka mojahuyu kiboko, si ajabu hata mchele huwa anapepeta kabisa,...π€π€