Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
uzuri fahamu zinawarudigi japo kwa kuchelewaKama hapa nimedumaa bora nidumae tu mkuuš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzuri fahamu zinawarudigi japo kwa kuchelewaKama hapa nimedumaa bora nidumae tu mkuuš
Utumbo wa mbuzi hautakiw usafishe mavi yakaisha unakuw na supu nzito sanaWaw! Mpendwa; ni Utumbo wa ng'ombe au mbuzi? Utumbo wa mbuzi esp. akiwa ni beberu ambaye hajahasiwa (not castrated)ni the best. Utumbo wa mbuzi una kauchachu fulan hv amazing.
Weeee! Kama mko kwenye ndoa, huyo mwenzangu anavumulia tuu hakwambii ili kuepusha timbwili ndani ya ndoa. Ukitaka kuhakikisha hilo, jaribu siku moja kulikoroga (na wewe ujue kweli umelikoroga) halafu tenga mezani uone kama atasema neno gani.Naishi na mume,siwezi kukaa na mtu mwingine kwa sasa
Anakula nachopika mara moja moja,sidhani kama natoa boko kila siku
Hii dunia haihitaji fahamu kila saa mkuu , utaja kuchanganyikiwa burešuzuri fahamu zinawarudigi japo kwa kuchelewa
Ni sawa,wewe unajua zaidi maisha yetuWeeee! Kama mko kwenye ndoa, huyo mwenzangu anavumulia tuu hakwambii ili kuepusha timbwili ndani ya ndoa. Ukitaka kuhakikisha hilo, jaribu siku moja kulikoroga (na wewe ujue kweli umelikoroga) halafu tenga mezani uone kama atasema neno gani.
lakini si kupoteza fahamu hadi inafika atua kujisaidia haja kubwa marabarani usiku ndugu hili halivumiliki kwakweli ndugu zangu waleviHii dunia haihitaji fahamu kila saa mkuu , utaja kuchanganyikiwa bureš
Mambo mengine bhana! Unatuamshia apetite ilhali hicho kitu pendwa hakipatikani huku. Niliwahi kukitia mdomoni nilipobahatika kuwepo pale Uchira miaka hiyo.Utumbo wa mbuzi hautakiw usafishe mavi yakaisha unakuw na supu nzito sana
Ila i meant utumbo wa ng'ombe, nyama mbavu, natoa ndizi nyama utumbo na kama ni mbuzi nitakula kapilipili mbuzi kushushia.
Hapo š š kwa kweli umenidanganya. Nitayajuaje maisha yenu zaidi ya nyie mlioko humo? Hayo makofi ni ghilba.Ni sawa,wewe unajua zaidi maisha yetu
Makofi matatu kwako ššš
Anioe awe ananirostia misotojo š¹š¹So uongee vizuri na huyu msela anaeroast ndizi sasa, au??? š¹
Hahaha ngoja ninywe sprite ya baridi kukausha koo.Mambo mengine bhana! Unatuamshia apetite ilhali hicho kitu pendwa hakipatikani huku. Niliwahi kukitia mdomoni nilipobahatika kuwepo pale Uchira miaka hiyo.
Kwan kuna shida gani hapo!Jana ndio mara ya kwanza kunywa pombe nikapiga cocktail moja ya beer 4 tofauti
Utakuja kudhalilika usinywe cocktail za ajabu ajabuJana ndio mara ya kwanza kunywa pombe nikapiga cocktail moja ya beer 4 tofauti
Duuh!šWewe ni team kataa ndoa nini? Yani unajua kupika kuliko mke wangu
wanawahi jagi la umeme wachemshe maji[emoji57], umeme ukikata hawaogi wananawa tu na kulala nyau hawa, oeni vijana wanguAaliyyah njoo mwaya chef wangu..!!
Mtoa mada, wakati mwingine jaribu kutia njegere ama mchicha, uta enjoy zaidi..!!
Hongera kwa chakula kizuri, wenzio hawajui hata kuchemsha maji ya kuoga huko duniani..![emoji23]
Hatari kubwa ya vyakula vya mama lishe ni mafuta wanayotumia. Yaani huwezi jua ni mafuta gani na hata kama yameshamaliza muda wake huwezi jua. Mafuta yanawekwa kwenye chupa za plastic halafu yanashinda juani siku nenda siku rudi. Naamini kutakuwa na mripuko wa magonjwa ya moyo huko mbele ya safari.Wale tulio single bila wapenzi tuwe na mazoea ya kupika tukipata muda vyakula vya mama ntilie vipo kibiashara zaidi na pia vina kasoro nyingi mno
Yaan ni wavivu balaa hawawez hata kusuuza Kijiko amepika vizuri sana hizo Nazi balaaAaliyyah njoo mwaya chef wangu..!!
Mtoa mada, wakati mwingine jaribu kutia njegere ama mchicha, uta enjoy zaidi..!!
Hongera kwa chakula kizuri, wenzio hawajui hata kuchemsha maji ya kuoga huko duniani..!š
Ni kweli nishakula mgahawani km mara mbili mjini nilitapika balaa nikajaribu kuulizia nikaambiwa huenda ni mchanganyo wa mafuta ya kupikiaHatari kubwa ya vyakula vya mama lishe ni mafuta wanayotumia. Yaani huwezi jua ni mafuta gani na hata kama yameshamaliza muda wake huwezi jua. Mafuta yanawekwa kwenye chupa za plastic halafu yanashinda juani siku nenda siku rudi. Naamini kutakuwa na mripuko wa magonjwa ya moyo huko mbele ya safari.
Ukijipikia mwenyewe angalau unajua kila unaingiza mwilini mwako. Safi sana kamanda!