Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

Kwanini usijibane hizo hela unazowapa hao wana mizinga ili ununue hilo Godoro,na vitu vingine?kaa ukijua kuwa maisha hayajawahi kuwa rahisi hivyo unavyowazia,hizo ten unazohonga ni hela ungeweza kufanyia mambo mengine ya maana na ukafanikiwa...,...
hujanisoma mkuu,wana wananiungia hizo ten sio nahonga.
 
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.

Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.

So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Inshort ulikuwa unamiliki group la WhatsApp tu
 
ngoja niishi nayo hii mkuu,kuna nyakati maisha yanakuwa na ukatili fulani ngoja nijifunze.
 
Yesu wangu mm hizo asset nimeanza kumiliki toka nikiwa na miaka 19

Sahivi nina miaka 22 ila nina kila kitu...
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.

Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.

So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
 
Ungesema mahali unaishi watu wajue wanakusaidia vipi.

Ila kazi za mtaani unatakiwa usahau kidogo kuhusu makaratasi waliyokupa ulipomaliza skuli
nipo dar mkuu,game inakuwa ngumu nawish sometimes mpira urudi kwa kipa.
 
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.

Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.

So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
vip ulikuwa kwenye kundi la mitano tena au mitano kwanza
 
nitajaribu hii risk, may be italipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…