Leo nimetongozwa na binti mdogo tu, imenikumbusha sana ujana wangu

Tarehe za siku kuu hizi, ni bomu hilo unategwa, shauri yako.
 
Mademu wanyewe hawa Jobless wanatongoza wanaume ili wapate kula na maisha yasonge hakuna kingine.
Kikubwa andaa pesa tu sio kutafuta vumbi la Congo.
 
inaonesha ni ndoto yako kutongozwa sasa amka na ukaijenge nchi.
 
Usiku huyo demu huwa anakuwa pale Corner Bar anajiuza..Wewe unaona umeokota dodo...aisee
 
Kutongozwa si tatizo. Tatizo ni jibu lako la ........ "asante"
Dada yako naye ajibu vipi akiambiwa nakupenda au umependeza?.

Kwani wanaume tunajibu vipi wakulungwa?
Nasubiri jibu na mm [emoji23]
 
Tatizo sio kutongozwa vp yaliyomo yamo kwa uyo mrembo tako, sura lipo au ndio wale kina mwajuma ndala ndefu
 
Ndugu mtani wa wazaramo,kumekucha,je leo umeenda kwenye harakati za kutafutašŸ¤”
 
Ndugu mtani wa wazaramo,kumekucha,je leo umeenda kwenye harakati za kutafutašŸ¤”
Ndio natoka kazini now, kuna mwanamke nilienda kukutana nae huko Goba, kaka kuna wanawake wameumbika.
 
Hadithi yako inatufundisha nini?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…