Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Bwana wee! kwahiyo wewe kwako hii situation ndio worse kabsa

Yani Kazi[emoji1542]Kazi[emoji1542] Nyumbani [emoji1542]Kazi[emoji1542]Kazi
Yes sir! Japo si siku zote. Kuna siku ambazo hatuna oda.
 
Mimi niliacha kazi nikawa nafanya mambo yangu kwa muda wangu. Ajira ni zaidi ya utumwa
Mimi niliacha ualimu.....Mambo gani naenda shule toka utotoni mpk uzeeni......aiseee plus kufokewa kuapangiwa ratiba vilinichosha......mshahara Sasa hapo hata sisemi nyie mnajua.......now Mambo yangu sio mazuri ya kusema nirelax but at least Mimi no steling wa maisha yangu and I'm happy where I'm
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Fanya hvyo kila mwez Mara 3 utafurahi
 
hahaha unanisingizia mkuu, pesa zangu zote zipo kwa njia ya crypto nlishaacha kutumia benki mkuu
Au sio, upo kidigital zaidi. Hivi hyo mifumo Iko collapse huko itakuaje? Mtamshtaki nani?
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Hii huwa ninaita ni "RAT RACE" haina tofauti na yule panya alewekwa kwenye cage na anakuwa na kadude mithili ya tairi anaingia na kukimbia kinakuwa kinazunguka tu hapo japo bado yupo ndani ya cage. Hilo life ni boring sana na humfanya mtu asiwe exposed hasa kama level yako ndogo, mshahara mdogo yani haufiki walau 1.5m take home na kazi yenyewe Ila all in all ni mtazamo tu
 
Hii huwa ninaita ni "RAT RACE" haina tofauti na yule panya alewekwa kwenye cage na anakuwa na kadude mithili ya tairi anaingia na kukimbia kinakuwa kinazunguka tu hapo japo bado yupo ndani ya cage. Hilo life ni boring sana na humfanya mtu asiwe exposed hasa kama level yako ndogo, mshahara mdogo yani haufiki walau 1.5m take home na kazi yenyewe Ila all in all ni mtazamo tu
Oy kuna mwana hapo juu kasema anapokea laki 3 kwa mwezi, so kusema 1.5 m ni mshahara mdogo utakuwa unamchanganya
 
Kiukweli wengine hawajaumbwa kuajiriwa, na wakiajiriwa huwa wanaona wanateseka sana, mtoa mada upo kwenye hilo kundi nakushauri fanya mpango wa kuacha kazi. Mm nipo kwenye hilo kundi, ajira yangu ya kwanza niliteseka sana, mkataba ulipoisha sikuongeza mwingine
Umeongea kitu cha kweli kabisa, mimi nililigundua hili nilipokua nikifanya field,ilikua ni mateso makubwa sana.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
You're only few steps from recognizing your true purpose, keep seeking answers they are around the corner
 
Jikaze ivoivo usichoke KAZI broo. Wenzako tunaitamani hata hiyo KAZI tungeipata. Nakusihi jitahidi ivoivo.tafadhali
 
Au sio, upo kidigital zaidi. Hivi hyo mifumo Iko collapse huko itakuaje? Mtamshtaki nani?

kwan benki ikifulia unashtaki wap mkuu? ama hujui benki ikifulia ndo mwisho wa kuona ela yako
 
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!

Yote kwa yote kila mtu lazima afany
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!

Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!

Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!

Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Coment yako imenibariki na
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!

Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru kwa sasa sitamani tena kuajiriwa ila haimaanishi kujiajiri ni rahisi.
 
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru


Coment yako imenibariki na

Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru kwa sasa sitamani tena kuajiriwa ila haimaanishi kujiajiri ni rahisi.
Wow! You made my evening! Japo uzi ni wa zamani ila umenifurahisha kwa huo ushuhuda wako.

See you on top! 🥰
 
Back
Top Bottom