Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru
Coment yako imenibariki na
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru kwa sasa sitamani tena kuajiriwa ila haimaanishi kujiajiri ni rahisi.