Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
We ndio uko mbali kuliko mimi mi nilisha toka huko niko km nyingi mbele yakokama hujaelewa mpaka apo endelea na ajira tu, sahau kufanya biashara! kama utakua na hela hazina kazi jaribu kuwekeza hata dar es sakaam stock exchange MTP (onlinetrading.dse.co.tz/guest/login) maaana we na biashara bado mko mbali sana