Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

kama hujaelewa mpaka apo endelea na ajira tu, sahau kufanya biashara! kama utakua na hela hazina kazi jaribu kuwekeza hata dar es sakaam stock exchange MTP (onlinetrading.dse.co.tz/guest/login) maaana we na biashara bado mko mbali sana
We ndio uko mbali kuliko mimi mi nilisha toka huko niko km nyingi mbele yako
 
Kazi za kukaa kwa ofisi zinachosha, deskini kila ukiamka hadi jioni, probably unafanya kitu hicho hicho kila siku, no adventure, no kubuni, no kuchora..tiresome!

Kazi za site hazichoshi kabisa ukimalizana na hii, unatamani inayokuja coz itakuja na challenges zake.
Ila kweli haya maisha kupanga ni kuchagua. Mwengine analipwa kwa kutalii tu na kufanya ma survey ambayo hayana kichwa Wala miguu. Mtu anafanya kazi huku ana enjoy huyu mtu hata akicheleweshewa mshahara kwake sio shida
 
Usirudie tena kushauri watu wachukue mkopo ili waanzishe Biashara, UNAWAPOTEZA, Mkopo chukua ili uendeleze Biashara kwani utakuwa umefika stage ya kujua Changamoto zake

Lakin mambo ya kuchukua Mkopo halafu ndio uanze Biashara hata kama ni legit idea [emoji777]

unachukua mkopo unasoma chuo unakuja kulipa mbelen huna uhakika wa ajira shida iko wap mzee? hakuna biashara inaanza na ela za mkononi, usikalie kuskia mtu kasema kaanza na mtaji wa 30k muongo uyo, lazima kakopa ama labda kuna uchangiaji wowote ule ndo biashara ila mara nyingi hua inakua mkopo
 
unachukua mkopo unasoma chuo unakuja kulipa mbelen huna uhakika wa ajira shida iko wap mzee? hakuna biashara inaanza na ela za mkononi, usikalie kuskia mtu kasema kaanza na mtaji wa 30k muongo uyo, lazima kakopa ama labda kuna uchangiaji wowote ule ndo biashara ila mara nyingi hua inakua mkopo
Duuuh mkuu unaweza kuwa nisehemu ya maafisa mikopo wa benki ila sio Mwana uchumi
 
unachukua mkopo unasoma chuo unakuja kulipa mbelen huna uhakika wa ajira shida iko wap mzee? hakuna biashara inaanza na ela za mkononi, usikalie kuskia mtu kasema kaanza na mtaji wa 30k muongo uyo, lazima kakopa ama labda kuna uchangiaji wowote ule ndo biashara ila mara nyingi hua inakua mkopo
Kwahiyo unanishauri nikope nifanye biashara sio?
 
Fanya hivi, kanunune hisa kwenye makampuni makubwa, watu wanakuwa wanafanya kazi kwa ajili yenu.

Pia, weka fedha zako kwenye fixed akaunti.

Unakuwa unalala tu hela inaingia

Mana hata ukisema uende kijijini, utalazimika kufanya kazi tu ili ule.
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Si acha kazi tu ili upunguze hiyo mizunguko? Au jifanye kichaa usieleweke mapito yako.
 
Mimi niliona kazi inanizingua nikiomba ongezeko la mshahara wanaleta sound nikajifanya naumwa nikakaa nyumbani ofisi imejitahidi kunitafuta hadi waliposikia nafanyakazi sehemu nyingine wakaamua kuniandikia barua ya kuterminate mkataba na mikwara kibao, ila nilichojifunza kuna muda mwajiri roho inamuuma ikitokea potential employee amewakacha.
Screenshot_20220615-181005.jpg
Screenshot_20220615-181548.jpg
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
kwakweli uzi huu ndiyo umefungua kinywa changu kucheka.
 
Take a break and go on vacation that would make you relax ( you may in future make it a habit and plan accordingly).
 
Hii nayo ni techniques safi sana, lakin ni mbaya kama kazi ni ya kwako
Wanafanya hivo kwenye ofisi za watu tena haswa za serikali, taasisi binafsi wataanzia wapi? Au ofisi yako uamue tu kulala hela ikupite? Hawa wakijiajiri hata jumapili na public holiday hawalali nyumbani
 
Fanya hivi, kanunune hisa kwenye makampuni makubwa, watu wanakuwa wanafanya kazi kwa ajili yenu.

Pia, weka fedha zako kwenye fixed akaunti.

Unakuwa unalala tu hela inaingia

Mana hata ukisema uende kijijini, utalazimika kufanya kazi tu ili ule.
Ili faida ionekane hapo kwenye hisa au fixed account ni lazma uweke mkwanja wa kueleweka
 
Mimi niliona kazi inanizingua nikiomba ongezeko la mshahara wanaleta sound nikajifanya naumwa nikakaa nyumbani ofisi imejitahidi kunitafuta hadi waliposikia nafanyakazi sehemu nyingine wakaamua kuniandikia barua ya kuterminate mkataba na mikwara kibao, ila nilichojifunza kuna muda mwajiri roho inamuuma ikitokea potential employee amewakacha.
View attachment 2261850View attachment 2261852
Huyo Boss alikuwa ngozi nyeusi?
 
Chezea Mshahara usichezee Kazi.

Fanya kazi kama mtumwa uje uishi kama mfalme.
Ila honestly kuna misemo ni ya kipumbavuuu basi tu tunaitumia tu kwakua ndio vile...
Imagine ufanye kaz kama mtumwa halaf?mtumwa kabisaa mtumwa??
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Kama umechoka mwanangu acha kazi!
 
Nami nimekuwa nikipitia changamoto kama zako mleta thread!!
Kufanya kazi kwa kuajiliwa ni zaid ya utumwq ila waafrica tumejiwekea mkataba kuwa lazima tuajiliwe ili tuweze kuishi.
Niliacha kazi mwaka jana mwezi wa tisa baada ya kuwa na muendelezo wa matukio kama ya kwako.

Mpaka leo sijawahi kujutia why niliacha kazi.
Kwahiyo unafanya mishe zako ila ukipata hata mteja hata dogo tu anakuagiza naomba uniaptiea sukari guru nawe unamfatia kwenye kopo unampatia yeye anakupa pesa. Utaagizwa mpaka na vitoto vidogo maana mteja wako ndiyo boss wako 😁😁😁
 
Kwahiyo unafanya mishe zako ila ukipata hata mteja hata dogo tu anakuagiza naomba uniaptiea sukari guru nawe unamfatia kwenye kopo unampatia yeye anakupa pesa. Utaagizwa mpaka na vitoto vidogo maana mteja wako ndiyo boss wako [emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa hapo Kuna ubaya gani?
 
Back
Top Bottom